James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Usiende mbali mimi hapa nipo hapahapa karibu hahahhahaWewe umeshakiri kwamba unacheat na wala sijakuuliza kama unacheat au haucheat. Ninachojua wanaume ambao hawacheat kwa sababu yoyote ile wapo, hata kama wako wawili Africa nzima suala ni wapo