Mke wa Askofu Gwajima umevumilia mengi, “it's time to go”

Mke wa Askofu Gwajima umevumilia mengi, “it's time to go”

Ni jambo la kipumbavu sana kwa mtu kuombea ndoa ya mtu mwingine ivunjike, huna akili ww mtu. Unajua kuwa ndoa ni mpango wa Mungu? Unajua kuwa kuna familia hapo? How come wewe ujitokeze kutaka ndoa ya mtu ivunjike, au unataka uolewe wewe? Shame kabisa
 
Kwanza kabisa namshukuru Mungu Leo nimezidi kuamini kwamba kutakuwepo na manabii wa uongo.

Pili Mungu anatufungua macho wanadamu tuone Na tutambue kweli ipo wapi.

Naerejea kwako Mrs. Grace Gwajima. Kwa wasiomfahamu Grace Gwajima ndiye mke halali wa Josephat Gwajima. Ni mama wa msomi aliezaa na Gwajima watoto 3.

Kwa mliowahi kusali au kukutana na Gwajima mtaungana na mimi kwamba Gwajima ni mzee wa totoz na mama Grace amevumilia kwa muda sana.

Nilishawahi kumkuta live Gwajima akiwa na mmoja wa waimba kwaya wake enzi hizo (Linah Sanga) pale Ubungo Maji wakiwa katika pozi tata sana tena saa 6 usiku baada ya mkesha; sikujua nini kiliendelea baada ya hapo.

Kuna wakati tena muda wa usiku Bi Grace kushuka kwa kushtukiza kwenye ofisi za Gwajima na kumkuta na moja wa waimba kwaya wake. For the first time nilimuona Gwajima akiwa anatetemeka na kumuomba msamaha mke wake.

Kwanini nasema Bi Grace it's time for you to go?
Umevumilia mengi na scandal nyingi kwa mume wako achilia mbali ya kutoka na Frola Mbasha. (which is true 99%).

Kwa hili Gwajima kuchepuka tena kajirekodi Halafu pale ni nyumbani kwako GRACE amevuka mipaka.

Nenda zako kaendelee kufundisha London ulikokuwa.

You are better than that.
kwa jinsi nnavyoona threads nyingi zinavyoanzishwa humu za kumkashifu Gwajima...nadiriki kuamini hii ni mission imepangwa makusudi kufuta swala la MDUDE.....na ile video ni fake...
 
Nilichogundua kwenye ile video, sijamsikia yule dada akimwambia mchungaji asipigie bao ndani, lakini ingekuwa akina sisi ndio angetusukuma mpaka tuanguke kutoka kitandani
Hahaa
 
The only "suluhu " ni grace ku prove kwamb she's strong.. Anawez kuachana Na gwajima and still akalea watoto wake vzr...
Wanawake wa kiafrika hapo ndo wanapo fail
Wanakosewa heshima hadharani, wanaletewa magonjwa ndani ya nyumba only tu kwakuw kaolewa bus anatikiwa avumilie kwajili ya watoto na Mali..
Wanaacha kuji value Kwanz "put your self as a priority "
Pesa pesa pesa ndugu .... anatamani kuondoka but anafikiria mali na bata analo kula ataviacha vipi vyote hivyo
 
Nenda kaolewe basi au kama huna vigezo mwambie Mamako akaolewe nae
Kwanza kabisa namshukuru Mungu Leo nimezidi kuamini kwamba kutakuwepo na manabii wa uongo.

Pili Mungu anatufungua macho wanadamu tuone Na tutambue kweli ipo wapi.

Naerejea kwako Mrs. Grace Gwajima. Kwa wasiomfahamu Grace Gwajima ndiye mke halali wa Josephat Gwajima. Ni mama wa msomi aliezaa na Gwajima watoto 3.

Kwa mliowahi kusali au kukutana na Gwajima mtaungana na mimi kwamba Gwajima ni mzee wa totoz na mama Grace amevumilia kwa muda sana.

Nilishawahi kumkuta live Gwajima akiwa na mmoja wa waimba kwaya wake enzi hizo (Linah Sanga) pale Ubungo Maji wakiwa katika pozi tata sana tena saa 6 usiku baada ya mkesha; sikujua nini kiliendelea baada ya hapo.

Kuna wakati tena muda wa usiku Bi Grace kushuka kwa kushtukiza kwenye ofisi za Gwajima na kumkuta na moja wa waimba kwaya wake. For the first time nilimuona Gwajima akiwa anatetemeka na kumuomba msamaha mke wake.

Kwanini nasema Bi Grace it's time for you to go?
Umevumilia mengi na scandal nyingi kwa mume wako achilia mbali ya kutoka na Frola Mbasha. (which is true 99%).

Kwa hili Gwajima kuchepuka tena kajirekodi Halafu pale ni nyumbani kwako GRACE amevuka mipaka.

Nenda zako kaendelee kufundisha London ulikokuwa.

You are better than that.
 
Huo ndio ukweli mama, ndio maana vijana tukifika 40+ maisha yamenyooka ndio muda wa kutanua na vitoto vibichi vya chuo chuo vile. Unakamata pisi kali unabunya kimya kimya ukirudi kwa wife tulii!!!

Unajiuliza kwanini huyu jamaa asingeoa kitu roho inapenda ila sasa kukeep up na mahitaji yote ya mtoto mkali kama mdoli enzi hizo inakuwa ngumu hela haitoshi. Hakuna kitu tunaogopa kama kuwa na demu mkali af ukawa unachapiwa kwa vile huna pesa ya kutosha.
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka mpaka nimepaliwa[emoji16][emoji16]

Wanaume mna tabu sana, that's y mnavuta mapema mnatuacha tunakula batazz
 
Hii kauli kwa maskini tu , mbona Florah na Emanuel Mbasha wao waliunganisha na Gwajima akatenganisha, halafu akamuunganisha Flora pengine?
Hivi kumbe frola yule daudi wake kapasiwa na gwajiboy?
 
Ila sometimes sisi wanawake maboya sana, nimewaza mfano ndo ingekuwa mke wake amepata scandal ya video km hiyo sidhani km gwajima angesimama kumtetea. Mapenzi mengine ya kifala sana..binafsi nisingeenda kujichoresha mbele ya waandishi wa habari.
 
Back
Top Bottom