Mke wa AY ni mzuri kuliko wanawake wote Tanzania; yule ni Cleopatra

Madem wazur wapo weng sana hapa tz kuliko unavyofikiria ww. Sema tu sio wote wanapost kweny mitandao na wengne wazur sana sema hali za kiuchumi zimebana
 
Angalia PUA
UZURI UKO HAPA
 
 

Attachments

  • 3AE54798-7C9D-4015-9061-51EEA31B424A.jpeg
    12.2 KB · Views: 80
She is beautiful yes,
kama umemfananisha na Cleopatra wa kwenye Biblia means she is beautiful kuliko wanawake wote Duniani... lol
Mzuri kuliko wote TZ wapi, unamsikiliza huyo! unasikiliza watu waliotembea mwisho wilayani kwao na kuishia kuangalia TV!
 
Hahahaha mleta uzi una macho ya sikukuu bila shaka,yaani huyu mwenye pua kama gunzi ndio mzuri?kua serous aisee,hebu twende Tanga ukakutane na utitiri wa warembo
 
Hakika umenena[emoji1]
 

Kama mke anatambua wajibu wake na ana uwezo wa kuzihimili changamoto za ndoa, huyo atakuwa mke mzuri. Uzuri wa mke sio sura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…