king otaligamba
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 2,178
- 2,033
Kutokana na vigezo vyangu hafui dafu kwa wife wangu aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ungesema KWA MTAZAMO WAKO huyo dada ni mzuri;Mke wa AY ndio msichana mrembo zaidi kuliko wasichana wote Tanzania. Hakuna cha Jokate, Wema, Lulu, Tunda, Mimi Mars, Klynn, Faraja Kota wala Nancy Sumari.
Nahisi yeye ndio Cleopatra aliesemwa kwenye historia, yaani mwanamke mzuri kuliko wote.
View attachment 695751
View attachment 695755
HahahahYani daah. Sasa na yeye kwanini asiende tafuta Cleopatra wake anachukua kina bi kidude.
Hahahahahaja uwiiiMzuri kuliko wote TZ wapi, unamsikiliza huyo! Pua yenyewe km koki, unasikiliza watu waliotembea mwisho wilayani kwao na kuishia kuangalia TV!
Nachekaga Sana nikiskia mama Gaude,Dunia hii hakuna mrembo wa kumshinda Mama Gaude wangu. Nimechoka kurudia hii comment kila siku. Mama Gaude wangu chombo bhana!
...we kila siku unaonesha sura tu,Tumefanana
Zari anatoka Uganda mkuuHeheheee kwa hyo Zari sio mzuri kushinda wanawake wa tz tena mmegeukia kwa Remy? Kazi mnayo aisee
Kwa hiyo ukiwakilishwa unaona fahari? Kawaida lkn, mbona hata demu wako uliye karibu nae watu wanawakilisha sometimes, sembuse hao walioko mbali na ww!diamond anatuwakilisha kuwagonga ngozi waganda[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yaani huyo ni mpompoma mara dufu yaani hao wabaya mpaka mama yake dada zake shangazi zake hao ndiyo hukimbia ndugu zao kwa kuogopa kuwatambilisha kwa watuHalafu kusifia mke wa mtu dizaini hiyo ni mapungufu.
Pia ni matusi ya nguoni kwa wanawake warembo wazawa nchini Tz.
Wewe ndio umepotea kabisa, kweli kila mtu na macho yake