Mke wa AY ni mzuri kuliko wanawake wote Tanzania; yule ni Cleopatra

Mke wa AY ni mzuri kuliko wanawake wote Tanzania; yule ni Cleopatra

Mke wa AY ndio msichana mrembo zaidi kuliko wasichana wote tanzania, hakuna cha jokate, wema, lulu, tunda, mimi mars, klyn, faraja kota, nancy sumary,
Nahisi yeye ndio cleopatra aliesemwa kwenye biblia, yaani mwanamke mzuri kuliko woteView attachment 695716 View attachment 695715
Tuonyesheni miguu yake na matacko yake tuone kwanza, sura hata wanyaturu na warangi wanazo.
 
Hahahahaha! Yeah ni mrembo, but jamaani hakuna sehemu niliyoona wanawake wazuri Tanzania kama Manyara
Hao wanawake wa huko, je kifurushi kimekamilika?? Yaani kina sms, mb na dk za kutosha au ni sura tu.
 
Mke wa AY ndio msichana mrembo zaidi kuliko wasichana wote tanzania, hakuna cha jokate, wema, lulu, tunda, mimi mars, klyn, faraja kota, nancy sumary,
Nahisi yeye ndio cleopatra aliesemwa kwenye biblia, yaani mwanamke mzuri kuliko woteView attachment 695716 View attachment 695715
We lazima utakuwa umetoka kolomije umezuzuka na rangi na makeup,hakuna bibi Harusi mbaya mbele ya makeup ni pesa zako tu.
 
Mke wa AY ndio msichana mrembo zaidi kuliko wasichana wote tanzania, hakuna cha jokate, wema, lulu, tunda, mimi mars, klyn, faraja kota, nancy sumary,
Nahisi yeye ndio cleopatra aliesemwa kwenye biblia, yaani mwanamke mzuri kuliko woteView attachment 695716 View attachment 695715
Umekuja mjini na fuso ya mizigo ndio shida kwako wewe umeona ndio mke mzuri
 
Wengi wanafikiri uzuri wa mwanamke ni wa nje ambao ni sura na mwili, bali uzuri wa mke ni wa ndani moyoni na tabia

Kitabu cha 1Samueli kinasema kama ifuatavyo:

"Lakini Yehova akamwambia Samweli: “Usiangalie sura yake wala urefu wa umbo lake, kwa maana nimemkataa. Kwa kuwa Mungu haoni kama mwanadamu anavyoona, kwa maana mwanadamu huona kile kinachoonekana kwa macho, lakini Yehova huona jinsi moyo ulivyo.” (1Samuel 16:7)
 
Uzuri wa mtu upo mechoni mwa anaemwuangalia na si vinginevyo.
 
Back
Top Bottom