Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadada wengi ndio maana mnashindwa kupata real love kwa mambo mafupi sana.
Kuna kipindi fulani nilimsikia baba levo kuachana na mke wake ni kwa sababu ya dini ila walizaa.
Sasa baba levo mpunga unasoma huku salma wavaa kobazi wenzake wanabaki kumuangalia
Demu aliongopewa na Madalali akapelekwa Sauz Kujiuza! Kufika kule kila akizichanga azichangiki😂Kaamua kurudisha mpira kwa kipaWadada wengi ndio maana mnashindwa kupata real love kwa mambo mafupi sana.
Kuna kipindi fulani nilimsikia baba levo kuachana na mke wake ni kwa sababu ya dini ila walizaa.
Sasa baba levo mpunga unasoma huku salma wavaa kobazi wenzake wanabaki kumuangalia
Hivi kwanin aombe radhi instagram badala ya kuonana wao kwa wao
Nin kilitokea
Acha uwongo na Unafiki we kiumbe chuki ya dini imekujaa mno,Shekhe gani ana mda ya kushauri ujinga.Alidanganywa na masheikh kua asiishi na kafir, sasa waislamu wenzake waliomdanganya wanamwangalia tu hawana msaada na jamaa njia inazidi kunyooka kaona bora aishi na kafir asife njaa kuliko kuishi na wafia dini wanaonuka shida,
Alimuacha baba levo huko huko instagram.Hivi kwanin aombe radhi instagram badala ya kuonana wao kwa wao
Nin kilitokea
😂😂😂Alimuacha baba levo huko huko instagram.
So lazima aombe msamaha huko huko
Hii mitandao imewafanya watu wamekuwa wajinga kabisaHivi kwanin aombe radhi instagram badala ya kuonana wao kwa wao
Nin kilitokea
Kapona marinda kweliDemu aliongopewa na Madalali akapelekwa Sauz Kujiuza! Kufika kule kila akizichanga azichangiki[emoji23]Kaamua kurudisha mpira kwa kipa
😂😂😂😂 Madogo wa Joberg sijui kama wamemwacha salama! Maana alikuwa Sokoni !!😂😂 Pesa inaongeaKapona marinda kweli
Ova
Alimchafuaje maana huu umbea ulinipitaWale waliombana msamaha wao kwanza, maana demu alimchafu mchizi kule insta wakati anaondoka sasa akapewa sharti la kurudi tena hadharani aongee lakini walikua washamaliza matatizo yao
Mwaume unakuwa mzushi!!Alidanganywa na masheikh kua asiishi na kafir, sasa waislamu wenzake waliomdanganya wanamwangalia tu hawana msaada na jamaa njia inazidi kunyooka kaona bora aishi na kafir asife njaa kuliko kuishi na wafia dini wanaonuka shida,
Yaan 🙆🏼♂️Hii mitandao imewafanya watu wamekuwa wajinga kabisa
Ova
Ndio wewe usikimbie, kama sio, Nairobi upo mtaa gani?sio mimi.mimi nipo nairob