Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
Duh bhac hakuna namna kila kitu wamalizie huko hukoAfu ndo walikokutaniana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh bhac hakuna namna kila kitu wamalizie huko hukoAfu ndo walikokutaniana
Walaa ckupingi mkuu ,na una baya na mtuu kamandaa [emoji61][emoji61][emoji61][emoji61]Inabidi iwe hvyo mkuu ili kuweka records sawa coz unaweza msamehe behind the scene baadaye tena akabadilika ..... ikawa ni aibu kwako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaaah, ila wee mbea lolWee hebu ngoja Kwanza nifate kigoda
Nimesikiliza kile kipindi redion alichokuwa anasimulia maswahibu ya mkewe.Wadada wengi ndio maana mnashindwa kupata real love kwa mambo mafupi sana.
Kuna kipindi fulani nilimsikia baba levo kuachana na mke wake ni kwa sababu ya dini ila walizaa.
Sasa baba levo Mpunga unasoma huku Salma wenzake wanabaki kumuangalia
[emoji1][emoji1][emoji1] Anatumia jina gani huko igram?Alimuacha baba levo huko huko instagram.
So lazima aombe msamaha huko huko
Comment yako imedhihirisha kuwa una kiwango duni cha kufikiri na chuki zisizo na msingi..Alidanganywa na masheikh kua asiishi na kafir, sasa waislamu wenzake waliomdanganya wanamwangalia tu hawana msaada na jamaa njia inazidi kunyooka kaona bora aishi na kafir asife njaa kuliko kuishi na wafia dini wanaonuka shida,
It's life man, vyumbani mwetu kunahifadhi siri nyingi ndiyo maana huwa tunafunga milango hata mtoto akiwa na shida lazima agonge au aite hata kama amepatwa na dharura katikati ya usiku.Noma mkuu
Exactly.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nilikuwa napitaa tu mkuu , comment yako ikanifurahishaa. Kumbe hata ukiachwa sokon na kelele nyingii cku akitakaa kurudi unampeleka sokon akaombee msamahaaa hukoo
Sent using Jamii Forums mobile app
NDIO YALE YALE YA OOOH MIMI SILI NGURUWE NI KHARAMU, ILA SASA MATA.KO ANAKULA!!Alidanganywa na masheikh kua asiishi na kafir, sasa waislamu wenzake waliomdanganya wanamwangalia tu hawana msaada na jamaa njia inazidi kunyooka kaona bora aishi na kafir asife njaa kuliko kuishi na wafia dini wanaonuka shida,