Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaume unakuwa mzushi!!
Acha uwongo na Unafiki we kiumbe chuki ya dini imekujaa mno,Shekhe gani ana mda ya kushauri ujinga.
Mwaume unakuwa mzushi!!
🤣🤣Naona sheikh ubwabwa unalipuka tu
Hasa hasa wabongoHii mitandao imewafanya watu wamekuwa wajinga kabisa
Ova
Kwa sababu walipoachana pia alitangaza Instagram.Hivi kwanin aombe radhi instagram badala ya kuonana wao kwa wao
Nin kilitokea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alimuacha baba levo huko huko instagram.
So lazima aombe msamaha huko huko
Kwan yeye baba levoo hayo marinda na ukimwi hana? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baba Levo inabidi ampime Ukimwi na Malinda kama yapo ndio aanze kuchapa tena.
S. afrika sio pazuri aiseee! Kuna uchafu mwingi.
Mwiba hutokea pale pale ulipoingilia.Alimuacha baba levo huko huko instagram.
So lazima aombe msamaha huko huko
Hakuna namna mkuu ....pale paleMwiba hutokea pale pale ulipoingilia.
Wee hebu ngoja Kwanza nifate kigodaKwan yeye baba levoo hayo marinda na ukimwi hana? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nomechekaaaa had machoziiiii. Khaaaah
Unajuaje kama naye hakuwa akimpitisha njia ya vumbi.Hakuna namna mkuu ....pale pale
Ila Mtaalamu wa majumba B levo Ba ..akague rinda kwanza bado zinadai au washapita nazo
Noma mkuuUnajuaje kama naye hakuwa akimpitisha njia ya vumbi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nilikuwa napitaa tu mkuu , comment yako ikanifurahishaa. Kumbe hata ukiachwa sokon na kelele nyingii cku akitakaa kurudi unampeleka sokon akaombee msamahaaa hukooAlimuacha baba levo huko huko instagram.
So lazima aombe msamaha huko huko
Acha kashfa chief.....jiheshimuAlidanganywa na masheikh kua asiishi na kafir, sasa waislamu wenzake waliomdanganya wanamwangalia tu hawana msaada na jamaa njia inazidi kunyooka kaona bora aishi na kafir asife njaa kuliko kuishi na wafia dini wanaonuka shida,
Afu ndo walikokutanianaAlimuacha baba levo huko huko instagram.
So lazima aombe msamaha huko huko
Inabidi iwe hvyo mkuu ili kuweka records sawa coz unaweza msamehe behind the scene baadaye tena akabadilika ..... ikawa ni aibu kwako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nilikuwa napitaa tu mkuu , comment yako ikanifurahishaa. Kumbe hata ukiachwa sokon na kelele nyingii cku akitakaa kurudi unampeleka sokon akaombee msamahaaa hukoo
Sent using Jamii Forums mobile app