Ninavyosikia mimi ni kwamba it was robbery. Some money was stolen and a few things taken from the ambassadors bedroom. The ambassador had been in Muheza, apparently he is campaigning for Ubunge and he had talked to his wife earlier in the day. He called back in the evening and the phone went unanswered. After a few more unanswered calls he decided to drive back to Dar to find his wife dead with a knife still in her chest. The "house help" is missing.
Jasusi.. that is the story we have been told; but in a situation like this there is a story behind the story. Ngoja nioneshe matundu machache kwenye stori ilivyo sasa.
a. The Story:
The former ambassador, who has served in public office in various capacities, told the 'Daily News' today that he last contacted his wife on Saturday afternoon to inform her that he would be travelling back the next day (yesterday).
When I tried to call again later in the evening, the call could not go through. I tried again later several times and still it didnt go through, he explained his eyes welling up with tears.
Kwa hiyo.. timeline yetu ni kuwa lolote lililotokea lilitokea siku ya Jumamosi kati ya mchana na jioni. Halikutokea usiku. Kama lilikuwa ni tukio la ujambazi na matumizi ya nguvu kiasi hicho hao majambazi watakuwa ni watu wa karibu sana kiasi cha kutokusababisha shuku toka kwa majirani mchana kweupe; na hiyo ina maana wapo mashahidi walioona kilichotokea, gari, watu n.k
Balozi alilala salama usiku ule bila kutoa taarifa polisi, kwa ndugu, jamaa na marafiki huku akiwa hana mawasiliano na mke wake na hajasema kama alijaribu kuwasiliana na msaidizi huyo wa nyumbani. (this is important to keep in mind)
b. The Story:
When he arrived at his home, his driver hooted but there was no response from inside.
I tried calling again, and got no answer. I was then beside myself with worry, I knew something was definitely wrong. I asked my driver to climb over the fence and open the gate,
Sasa tunajua kuwa Balozi alilala salama usiku wote ule na hakufanya juhudi ya kupiga simu nyumbani siku ya pili wala kutoa taarifa kwa mtu mwingine yeyote. Muda huo unatoa nafasi ya mtu yeyote kutoweka na kuchelewesha uchunguzi.
Lakini pia tunaona jambo jingine muhimu kwa upelelezi. Malango ya nyumba ya Balozi yalikuwa yamefungwa kwa ndani. Sasa hapa hatuna budi kujiuliza huyo msaidizi wa nyumbani alitokaje na vitu vya kuiba halafu akafunga mlango kwa ndani kiasi kwamba mtu aliye nje anashindwa kuufungua?
La pili ni kuwa Balozi hana ufunguo wa mlango wa nyumba yake akiwa nje?
c. The Story:
They saw her shoes and bags strewn on the ground close to the gate, propelling ambassador Daraja to rush into the house to check on his wife.
Hapa kuna tatizo kidogo. Kwenye upelelezi tunaweza kusema ni kutokubaliana kwa eneo la tukio (inconsinstence of crime area). Viatu vya mhanga na mabegi yake yamekutwa karibu na geti. Vilifikaje hapo? Je mhanga aliuawa nje, aliwafukuza wahusika, hapa ni clue nzuri.. kulikuwa na damu karibu na geti?
d. The story:
I looked everywhere in the whole house but I couldnt find her. My driver and I looked around the compound but did not find her either
So far.. tunachosikia hapa ni kwamba ndani ya nyumba na eneo zima hakukuwa na ushahidi wa foul play! Ina maana huyo mama hakuuawa ndani ya nyumba au nje ya nyumba kwani kama kungekuwa na damu au aina yoyote ya ushahidi kuwa amedhurika wangeita polisi mara moja. Kama walikuta ushahidi wa kitendo kibaya walipoingia ndani (hasa baada ya kukuta viatu vyake nje na mabegi) walitakiwa kutoa taarifa polisi mara moja, itakuwaje kama wabaya walikuwa bado wako ndani wanasubiri? especially baada ya kujua kuwa geti lilifungwa kwa ndani?
d. The story:
[
Just when he was about to give up, he remembered to look inside his garage and
there she was, laying on the floor with a knife sticking out on her chest.
We unlocked the garage which was padlocked from outside but she was already dead. We reported the matter to the police and they are investigating, he whispered, tears streaming down his face. /QUOTE]
Hapa kuna mambo ya kutugusa fikra zetu kidogo. Baada ya kumkosa huko kwingine kote akaamua kuangalia kwenye gereji na wakaona mwili wa marehemu ukiwa na kisu kifuani. Wakafungua hilo lango la gereji (na hivyo kupoteza kwa kiasi kikubwa ushahidi wa nani aliufunga!) na siwezi kushangaa walipofika ndani mmoja wao akakichomoa kile kisu, na hivyo kufuta ushahidi wa nani alikichomeka (I hope thats not the case).
e. The story:
Nothing of value was stolen, but the former ambassador suspects the assailants were looking for cash.
I think the assailants were looking for cash, because they didnt take anything of value and the bedroom was in a mess with things strewn all over,
Tunaambiwa kuwa hili halikuwa tukio la ujambazi kwani hakuna kitu cha thamani kilichoibiwa, kuna kitu hawa watu walikuwa wanatafuta au kulikuwa na sababu binafsi ya kufanya tukio hilo zaidi ya kuiba. kama hao jamaa walikuwa wanatafuta fedha na ndani ya nyumba kuna vitu vya thamani why not take the valuables and liquidate them later?
So.. in short ni kuwa it is not what it seems..