- ... astagafillurahiii ....
...hii case inanikumbusha mauaji ya Mwalimu fulani pale Arusha mwaka 2002, ambaye naye aliuliwa na House boy kwenye mazingira yanayofanana kabisa na hayo.
Mwalimu huyo (mwenye nyumba) alirudi nyumbani na kumkurupusha 'kijana' wake wa kazi ambaye alikuwa kwenye harakati za wizi,...
Mbaya zaidi, mama mwenye nyumba alipojaribu kupambana na kijana wake wa kazi, hatma yake ilikuwa kupigwa mapanga mpaka kifo.
'Kijana' hajapatikana mpaka leo!
well.. I hope we are not talking about the same person.