warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Mke wa mwanamuziki wa bongo fleva Bob junior aka mkata mauno ametoa duku duku lake kuhusu my ex husband wake huyo kuwa ana tabia chafu na zisizofaa kwenye jamii na ndio maana kaikimbia ndoa yake ili aendelee kuuficha uovu wake." Kuna video ilikutwa kwenye simu ya bob junior akifanya mapenzi na msanii wa filamu,hii video tutaiweka kwenye mitandao ya kijamii ili watu washuhudie uchafu wake,kwa kifupi huyo jamaa sio mwanaume halisi,ana tabia nyingi za kike,kuna mwanaume mmoja amemsave kwa jina la mr festo kwenye simu yake,kuna siri kubwa ya uhusiano wa bob junior na huyo jamaa,tutakuja kuianika ivi karibuni ili jamii ishuhudie uchafu wake" kilisema chanzo hicho cha habari kutoka familia ya mke wa bob junior