Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
Mkuu Kama demu wako hakogi usijumuishe wote wa visiwani na bara tafadhali!!Kwanza hawaogi na minywele yao
Wakisuka izo nywele hawaogii narudia tena hawaogiii ..ume umia nini mkuu mkeo ni mmoja wao auMkuu Kama demu wako hakogi usijumuishe wote wa visiwani na bara tafadhali!!
Wabara ndio husuka yeboyebo apa visiwani Ni aghalabu kukuta mwanamke na hayo matakatakaWakisuka izo nywele hawaogii narudia tena hawaogiii ..ume umia nini mkuu mkeo ni mmoja wao au
watu wanapigwa risasi kichwani na wanapona.kuna mzee wa kihindi zamani alipigwa risasi kichwani na majambazi wakaiba hela.mbona alisavaivu na mara ya pili alipigwa risasi tena tumboni na majambazi na akapona.imagine ni zamani hakuna hata mobile phone!Rita angepigwa risasi ya kichwa si angekufa? Hii ya habari siyo ya kweli
Despite being shot in the head, she survived, due to her thick dreadlocks minimizing the impact of the bullet.
Kila siku tunawafundisha humu.Wabara ndio husuka yeboyebo apa visiwani Ni aghalabu kukuta mwanamke na hayo matakataka
Nafikiri nyele zao wengi Ni pilipili na usogo pia huchangia
Kupigwa risasi kichwani haimaanishi kwa asilimia 100 huyo mtu lazima atafariki, kuna watu wengi wanaishi na risasi kichwani katika nchi zilizoendelea.Rita angepigwa risasi ya kichwa si angekufa? Hii ya habari siyo ya kweli