Umepata wapi mamlaka ya kutoa hukumu hii?
Again, who are you to deliver such a verdict, and on what basis? So any opinion that differs from yours is wrong?
Mamlala niliyotumia kutoa hukumu ni ile uliyoitumia kusema Slaa na mkewe ni wasanii..., Kutofautiana na mimi sio kuwa huko wrong, ila sitaweza kuacha kusema huko wrong, eti kwa sababu yeyote atakayesema huko wrong atakuwa kama analazimisha uwaze sawa na yeye.,I havent
condemned you, I have
criticised, sina mahakama wala jela ya kukuweka, hata ningekuwa navyo mtu kama wewe unatakiwakueleweshwa tu.Maana kama mpaka sasa huelewi ulipoanguka, jela haitakusaidia
Tangu nazaliwa hata leobinadamu amabo huwa wanakubali wamekosea ni wachache, hasa pale wanapofikiri wakiwazacho hakipingwi au kuwa challenged.unapouliza maswali maswali yote yanakuwa kama na wewe unalizwa the same na Slaa!
umepata wapi mamlaka ya kuwaita wasanii.....
Pia nimeona hata unapomfumania mtu kwenye ugoni bado huwa wanajitetea, tena utetezi wao ni mzuri. Mafisadi,majambazi, wauaji wote mahakamani huwa hawakosi utetezi.
Yote katika yote
'message sent' haijalishi utatolea maelezo gani Narudia tena comment yako ya kwanza ulichemsha....., wanandoa kutofautiana katika itikadi ni kawaida siyo usanii.Kuna mke mshabiki wa
YANGA mume
SIMBA...., kuna mke
Mkatoliki mume
mwislamu...n.k wala sio wasanii....! are they?
Endelea kujitetea au kujibu post hii..., kwangu I am done with you, I am simply saying..Message sent,ukikubali sawa, ukikataa sawa pia.
waberoya