William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
You got it right! hata hivyo mantiki ya post sijui kama umeipata.... but to help u out
nimemalizia na kusema kwa mtazamo wao CCM ni beyond repair in that case hakuna vita ya ufisadi kuipigania ndani ya ccm ni its as good as wasting time,
then conclusion Mama Slaa kuwa CCM ni usanii...[/SIZE]
Mkuu Masatu,
Heshima tena mkuu, mimi nilifikiri wewe unaamini in freedom, sasa kumlazimisha mke awe na imani ya siasa kama ya mume, wewe huoni kuwa ni kukiuka misingi ya haki za kina mama, au wewe mke wako ni lazima afutae imani zako za kisiasa?
Kama this is true, basi hapo mkuu kuna abuse, au?