The Happiness
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 6,989
- 45,411
Ndoa is just sharing experiences tu...
Kiimani ni kuwa tunatimiza agano la Allah,Jehovah,Yahweh,Adonai that WE MEN HAVE BEEN CREATED MUSCULINE FOR caring our women and children then we gonna be paid huko tuendako...let's do our job kumridhisha mfalme wa wafalme otherwise kiduniadunia ndo masela huoni wanaikataa ndoa mpka wanaingia 40s😂😂😂
Mkuu hiyo sio RACISM ni COLORISM....Mhh hapa bongo tu huoni watu wanataka kuoa mwanamke mweupe/maji ya kunde lakini wao weusi
Ubaguzi hautakaa uishe
50 cent Hana MKE ila ana watoto wawili kwa mama wawili tofauti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Safi kabisa.
Ha ha ha mbona povu mwanaaa,sa we unaoa MZUNGU au mmanga wategemea nn stimu za huba zikikata?😂😂
Duuuh umeandika kwa hisia kali sana, poleeeeh kunywa kwanza maji afu relax.Amani hiyo ni ya nini bita au corona..... Wanawake ni wabinafsi sana..... Na mnatamaa.... Mtu anakupa mali yake na pesa zake utumie kama zako na unajua source ya kutafuta ni yeye why unaleta usenge.....
Kama unajifanya unaondoka sababu ya maumivu ya hisia nenda basi kaanze maisha yako, unataka utajiri wake ili iwaje.... Usenge tu....
Nilifurahi Michael Jordan mwanamke wake alileta usenge kama huu jamaa ile anapiga chini tu alamba dili kali akapata pesa mara tatu ya zile alizochomolewa na settlement za mahakama.....
Me labda niwe hivi hivi wa kupata vi elfu 50,000 vya kubadilisha mboga, aisee niwe milionea aaaah wanawake ninawapa mimba tu mtoto akifika miaka mitatu nachukua mtoto wangu napita hivi naishi nao fresh tu hadi wanakuwa wakubwa.... Maana wanawake mna mambo ya kisenge sana..... Hela hamtafuti, hata mkitafuta hamna jeuri ya kutumia kwa mwanaume kama vile tunavyoshare nanyi, mnapenda kupewa attention za kifala utadhani ninyi ni watoto wadogo wakati majitu mazima na mna akili timamu.
Mtu unaacha kufocus na majukumu yako ya ndoa unaanza mfuatailia mwanaume katika mambo yasiyokuhusu mara utamani mali zake kisa roho ya ubinafsi imekuingia unataka umtoe roho ubaki na mali zake... Usenge tu..... [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Kwan issue ni kuchanga pesa mzee
Mwanamke ata km hajachangiaa sheria inampendelea
Alafu mijamaa bwana hawa black americans wengine wanazingua wanaacha warembo mablack wazuri kabisa...sijui wenzetu huko hawapendi misambwanda
Ubarikiwe sana [emoji120][emoji120][emoji120]TIME IS MONEY!
ULE MUDA ALIOKUWA ANAUTUMIA KUMUHUDUMIA NA KUITUNZA FAMILIA THAMANI YAKE NI SAWA NA NUSU YA MALI ALIZOCHUMA MWANAUME AKIWA KAZINI!
JIULIZE
WEWE UNGEKUBALI KUONA DADA YAKO AU MTOTO WAKO WA KIKE AKITOKA MIKONO MITUPU KWA MWANAUME ALIMKUTA ANALALA CHINI!?
MAISHA BILA UNAFKI HAYAENDI!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka hadi mbavu zinauma, lolMisambwanda mnapenda tu nyie maskin [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi mkuu tumekusikia.Amani hiyo ni ya nini bita au corona..... Wanawake ni wabinafsi sana..... Na mnatamaa.... Mtu anakupa mali yake na pesa zake utumie kama zako na unajua source ya kutafuta ni yeye why unaleta usenge.....
Kama unajifanya unaondoka sababu ya maumivu ya hisia nenda basi kaanze maisha yako, unataka utajiri wake ili iwaje.... Usenge tu....
Nilifurahi Michael Jordan mwanamke wake alileta usenge kama huu jamaa ile anapiga chini tu alamba dili kali akapata pesa mara tatu ya zile alizochomolewa na settlement za mahakama.....
Me labda niwe hivi hivi wa kupata vi elfu 50,000 vya kubadilisha mboga, aisee niwe milionea aaaah wanawake ninawapa mimba tu mtoto akifika miaka mitatu nachukua mtoto wangu napita hivi naishi nao fresh tu hadi wanakuwa wakubwa.... Maana wanawake mna mambo ya kisenge sana..... Hela hamtafuti, hata mkitafuta hamna jeuri ya kutumia kwa mwanaume kama vile tunavyoshare nanyi, mnapenda kupewa attention za kifala utadhani ninyi ni watoto wadogo wakati majitu mazima na mna akili timamu.
Mtu unaacha kufocus na majukumu yako ya ndoa unaanza mfuatailia mwanaume katika mambo yasiyokuhusu mara utamani mali zake kisa roho ya ubinafsi imekuingia unataka umtoe roho ubaki na mali zake... Usenge tu..... [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Aaaaah hawa viumbe ndio maana watu tunawapanga maana hawana akili..... Wenye akili wenyewe hawajisomi.... So full kuwaepuka tu....mzee utaoa kweli wewe?
Weka picha mkandamizajHivi Yule mke wa Clifford Harris (T.I) hua ni black kweli? Halafu amekaa utafkiri porn actress
We unasema tu hauwajui vizuri wanawake wenzako tuulize sisi tunaokutana nao na shida wanazoleta. Diamond unaona hadi leo haoi anatia mimba tu unadhani hapendi kuwa na mwanamke wa kueleweka....?!Sio wanawake wote wanategemea kupewa wigi, sijui simu na mwanaume wanajiweza tu vizuri, ukiona hivo ujue wamechoka hela haiwezi kukupa furaha kamwe hapa duniani, eti waja wasema raha jipe mwenyewe.
Macream cream hayoKile kidada Tiny ni Kiafrika ila ni kama biracial hivi..
Siku hizi mostly blacks wapo biracial kupita maelezo
Hivi umesoma vizuri au..?! Huyo mwanamke kama ametengana kwa nia nzuri si amuachie jamaa utajiri mbona anadai mpunga. Acheni usanii bana nyie mtu akishakuwa na mali lengo lenu la kumpurusa linaanza.....Yani unataka avumilie kero na maumivu kisa kaolewa na bilionea, eeeh na huyo hajashawishiwa na yoyote kachoka tu mahusiano 24 years kavumilia na kuchoka ka migogoro haiishi. Na amekuja ku notice late money won't buy ur happiness, Kuna watu ni wazee wameachana na kesi ilitolewa talaka mahakamani kabisa.
Hii ya kujifanya kuvumilia ndo watu huuana ka sio kwa pressure kuchomana mikaa.
Aaaah atapigaje pull na nyapu za kupiga zipo kila kona anita anatomba.... Akichoka anatemana nazo....... Na sasa hivi jamaa anakaribia kuwa bilionea.... Maana networth yake ipo above 500 MilionDiddy nafikiri alishtukia mchezo kwa Jenifer Lopez maana aliachwa hivi hivi anaona maana alioza pale na nadhani ilibaki kidogo tu atangaze ndoa
Jenifer akampiga hela na umaarufu akaachwa solemba .
Kim porter kamvumila sana jamaa akiamini atazawadiwa ndoa jamaa kaweka kavu Hana hio habari
Cassie nae vile vile diddy angezubaa kidogo naamini Cassie angemliza [emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana dada wawatu kategaaa wee ndoa jamaa kakaza ikabidi sister wa watu aachie manyanga mwenyewe [emoji3][emoji3]
Ndio hapo Diddy kutambua kuwa angezubaa angekuwa lofa mazjma
Siiku hizi kawakusanya wanae wote wanakaa jumba moja anawasapoti Yuko bize na wanae na self love Hadi kujiita Sean love Combs
Ila Kama hajawa mpiga puli Basi atakuwa anawala Instagram model kimyakimya[emoji3][emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaah wanakera sana....Mzee baba umeamua kujilipua
Huyo wa kujitoa kuachana nae ni ngumu sana..... Kuna wale wakupretend akiona upepo unekukalia vizuri anawahi kujifanya anapambana na wewe kumbe kishaona upepo.....asilimia kubwa wanawake na wao wana sacrifice vitu vingi sana mpaka mwanaume anafika hapo!
Wengine mpaka wanaweka kando carrier zao ili kusimama na mumewe katika kujenga uchumi wa familia!