Mke wa Dr Dre, Nicole Young aomba talaka

Mke wa Dr Dre, Nicole Young aomba talaka

Sure haya mambo ukiyachukulia serious sana lazima yakuendeshe.
Ndoa is just sharing experiences tu...
Kiimani ni kuwa tunatimiza agano la Allah,Jehovah,Yahweh,Adonai that WE MEN HAVE BEEN CREATED MUSCULINE FOR caring our women and children then we gonna be paid huko tuendako...let's do our job kumridhisha mfalme wa wafalme otherwise kiduniadunia ndo masela huoni wanaikataa ndoa mpka wanaingia 40s😂😂😂
 
Mhh hapa bongo tu huoni watu wanataka kuoa mwanamke mweupe/maji ya kunde lakini wao weusi
Ubaguzi hautakaa uishe
Mkuu hiyo sio RACISM ni COLORISM....

Yaani ndani ya race moja kuna skin pigmentations from pitch black to the lightest.

Watu hua wana favor lightest,hiyo ni universal

Binadamu ni wabaguzi na wakati wa kuoa wana apply ubaguzi

Asipotumia color,atatumia matako,asipotumia matako atatumia urefu,asipotumia urefu atatumia unene au wembamba,etc...

Colorism ni tatizo sana,ila RACISM ni noma zaidi.....

Wachina ni weupe kwa rangi kama Wazungu,ila Wazungu ni wanapendwa zaidi,jamii imewaweka kwenye top tier...

Wote ni weupe kwa rangi ila Wazungu wanaitwa Whites,wao hawaitwi Whites,wanaitwa Chinese au Asians!

Africa,India na Latin America COLORISM ni tatizo kubwa mno..

Tunarudi kwenye Doll Test,mtoto wa miaka mitatu asiejua lolote duniani,ukimwekea a Black and White Doll ukamwambia achague,atachagua White Doll....the scientific reason for that ndio mtihani!
 
Ha ha ha mbona povu mwanaaa,sa we unaoa MZUNGU au mmanga wategemea nn stimu za huba zikikata?😂😂

Alafu mijamaa bwana hawa black americans wengine wanazingua wanaacha warembo mablack wazuri kabisa...sijui wenzetu huko hawapendi misambwanda
 
Amani hiyo ni ya nini bita au corona..... Wanawake ni wabinafsi sana..... Na mnatamaa.... Mtu anakupa mali yake na pesa zake utumie kama zako na unajua source ya kutafuta ni yeye why unaleta usenge.....

Kama unajifanya unaondoka sababu ya maumivu ya hisia nenda basi kaanze maisha yako, unataka utajiri wake ili iwaje.... Usenge tu....

Nilifurahi Michael Jordan mwanamke wake alileta usenge kama huu jamaa ile anapiga chini tu alamba dili kali akapata pesa mara tatu ya zile alizochomolewa na settlement za mahakama.....

Me labda niwe hivi hivi wa kupata vi elfu 50,000 vya kubadilisha mboga, aisee niwe milionea aaaah wanawake ninawapa mimba tu mtoto akifika miaka mitatu nachukua mtoto wangu napita hivi naishi nao fresh tu hadi wanakuwa wakubwa.... Maana wanawake mna mambo ya kisenge sana..... Hela hamtafuti, hata mkitafuta hamna jeuri ya kutumia kwa mwanaume kama vile tunavyoshare nanyi, mnapenda kupewa attention za kifala utadhani ninyi ni watoto wadogo wakati majitu mazima na mna akili timamu.

Mtu unaacha kufocus na majukumu yako ya ndoa unaanza mfuatailia mwanaume katika mambo yasiyokuhusu mara utamani mali zake kisa roho ya ubinafsi imekuingia unataka umtoe roho ubaki na mali zake... Usenge tu..... [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Duuuh umeandika kwa hisia kali sana, poleeeeh kunywa kwanza maji afu relax.
 
Kwan issue ni kuchanga pesa mzee

Mwanamke ata km hajachangiaa sheria inampendelea


Nimesema kuchanganya pesa na mahusiano. Vizuri ni mikataba tangu mwanzoni, chako chako, changu changu kama vipi nikupige tafu tu.
 
TIME IS MONEY!

ULE MUDA ALIOKUWA ANAUTUMIA KUMUHUDUMIA NA KUITUNZA FAMILIA THAMANI YAKE NI SAWA NA NUSU YA MALI ALIZOCHUMA MWANAUME AKIWA KAZINI!

JIULIZE
WEWE UNGEKUBALI KUONA DADA YAKO AU MTOTO WAKO WA KIKE AKITOKA MIKONO MITUPU KWA MWANAUME ALIMKUTA ANALALA CHINI!?

MAISHA BILA UNAFKI HAYAENDI!
Ubarikiwe sana [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Amani hiyo ni ya nini bita au corona..... Wanawake ni wabinafsi sana..... Na mnatamaa.... Mtu anakupa mali yake na pesa zake utumie kama zako na unajua source ya kutafuta ni yeye why unaleta usenge.....

Kama unajifanya unaondoka sababu ya maumivu ya hisia nenda basi kaanze maisha yako, unataka utajiri wake ili iwaje.... Usenge tu....

Nilifurahi Michael Jordan mwanamke wake alileta usenge kama huu jamaa ile anapiga chini tu alamba dili kali akapata pesa mara tatu ya zile alizochomolewa na settlement za mahakama.....

Me labda niwe hivi hivi wa kupata vi elfu 50,000 vya kubadilisha mboga, aisee niwe milionea aaaah wanawake ninawapa mimba tu mtoto akifika miaka mitatu nachukua mtoto wangu napita hivi naishi nao fresh tu hadi wanakuwa wakubwa.... Maana wanawake mna mambo ya kisenge sana..... Hela hamtafuti, hata mkitafuta hamna jeuri ya kutumia kwa mwanaume kama vile tunavyoshare nanyi, mnapenda kupewa attention za kifala utadhani ninyi ni watoto wadogo wakati majitu mazima na mna akili timamu.

Mtu unaacha kufocus na majukumu yako ya ndoa unaanza mfuatailia mwanaume katika mambo yasiyokuhusu mara utamani mali zake kisa roho ya ubinafsi imekuingia unataka umtoe roho ubaki na mali zake... Usenge tu..... [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Basi mkuu tumekusikia.
Tutaacha.

Lakini naomba nikuulize akaunt inasoma au umendika tu?
 
Sio wanawake wote wanategemea kupewa wigi, sijui simu na mwanaume wanajiweza tu vizuri, ukiona hivo ujue wamechoka hela haiwezi kukupa furaha kamwe hapa duniani, eti waja wasema raha jipe mwenyewe.
We unasema tu hauwajui vizuri wanawake wenzako tuulize sisi tunaokutana nao na shida wanazoleta. Diamond unaona hadi leo haoi anatia mimba tu unadhani hapendi kuwa na mwanamke wa kueleweka....?!

Kinachomsaidia diamond hadi leo yupo vizuri ni ulinzi wa mama yake mzazi pale kaweka ulinzi. Wakileta mazoea anawabalasa......walikuwa wapi wakati hana kitu leo wanajifanya wanampenda nusu ya kufa....
 
Yani unataka avumilie kero na maumivu kisa kaolewa na bilionea, eeeh na huyo hajashawishiwa na yoyote kachoka tu mahusiano 24 years kavumilia na kuchoka ka migogoro haiishi. Na amekuja ku notice late money won't buy ur happiness, Kuna watu ni wazee wameachana na kesi ilitolewa talaka mahakamani kabisa.
Hii ya kujifanya kuvumilia ndo watu huuana ka sio kwa pressure kuchomana mikaa.
Hivi umesoma vizuri au..?! Huyo mwanamke kama ametengana kwa nia nzuri si amuachie jamaa utajiri mbona anadai mpunga. Acheni usanii bana nyie mtu akishakuwa na mali lengo lenu la kumpurusa linaanza.....

Kyln yule pale anajifanya alimpenda mengi hadi basi ila ukimtazama usoni unaona unafiki mtupu.

Wanawake mnatamaa period.... Labda wewe uwe wa tofauti ila wengi mpo hivyo...
 
Diddy nafikiri alishtukia mchezo kwa Jenifer Lopez maana aliachwa hivi hivi anaona maana alioza pale na nadhani ilibaki kidogo tu atangaze ndoa

Jenifer akampiga hela na umaarufu akaachwa solemba .

Kim porter kamvumila sana jamaa akiamini atazawadiwa ndoa jamaa kaweka kavu Hana hio habari

Cassie nae vile vile diddy angezubaa kidogo naamini Cassie angemliza [emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana dada wawatu kategaaa wee ndoa jamaa kakaza ikabidi sister wa watu aachie manyanga mwenyewe [emoji3][emoji3]

Ndio hapo Diddy kutambua kuwa angezubaa angekuwa lofa mazjma

Siiku hizi kawakusanya wanae wote wanakaa jumba moja anawasapoti Yuko bize na wanae na self love Hadi kujiita Sean love Combs

Ila Kama hajawa mpiga puli Basi atakuwa anawala Instagram model kimyakimya[emoji3][emoji123]

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaah atapigaje pull na nyapu za kupiga zipo kila kona anita anatomba.... Akichoka anatemana nazo....... Na sasa hivi jamaa anakaribia kuwa bilionea.... Maana networth yake ipo above 500 Milion
 
  • Thanks
Reactions: amu
asilimia kubwa wanawake na wao wana sacrifice vitu vingi sana mpaka mwanaume anafika hapo!

Wengine mpaka wanaweka kando carrier zao ili kusimama na mumewe katika kujenga uchumi wa familia!
Huyo wa kujitoa kuachana nae ni ngumu sana..... Kuna wale wakupretend akiona upepo unekukalia vizuri anawahi kujifanya anapambana na wewe kumbe kishaona upepo.....

Dre katoboa muda sana ila ndio alikuwa anakuja juu.....

Ni kama tanasha kumng'ang'ania diamond muda huu unadhani ile mimba amejishikisha ili iwaje...
 
Back
Top Bottom