Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Ha ha ha unataka kusema alikutana na Cha ncha kali?ππMahusiano yako ya mwisho yaliishaje?
Looo mchaga kataniwa jmn mpka bc,unataka kusema Hawa wake zetu na sholi zote za mjini na majiji all over da globe ni wamachame?!!ππRoho ya kichaga hio..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hili swali lolMahusiano yako ya mwisho yaliishaje?
Kaulizwa jiswali gumu hakyanan,yaan muuliza sjui anataka kumpatia psychotherapy afu amtwange antidepressants amitryptalline sjui loo atare[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hili swali lol
Dre amuuwe huyo mwanamke kama OJ Simpson aweke lawyers wazuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaulizwa jiswali gumu hakyanan,yaan muuliza sjui anataka kumpatia psychotherapy afu amtwange antidepressants amitryptalline sjui loo atare
ππKama kuna member anamfahamu mke wa huyu jamaa amuonesha hii quote atakua ameokoa maisha ya mtu.
Kumbe mnyanyasaji?Bora alivyokomeshwa nilitokea kumchukia baada ya kuona interview ya Michelle kale kalikuwa kademu kake kabla ya kuoa huyu mkewe alivyokuwa anakapiga na kalivyo kapole
Amedumu nae sana sana
Ndio alikuwa anamtwanga achaKumbe mnyanyasaji?
Duh Basi acha aisome nambaNdio alikuwa anamtwanga acha
Kabisa mshenzi mmojaDuh Basi acha aisome namba
low f4555 B alafu uchukue utajiri wa mtu....crips and blood wanamaliza kaziKama kuna member anamfahamu mke wa huyu jamaa amuoneshe hii quote atakua ameokoa maisha ya mtu.
Ulitaka wagawane kwa ratio ipi mkuuHizi sheria ni adui wa wanaume, pasu kwa pasu ni too much. Wajameni tuwe makini na mambo ya kuchanganya pesa na mahusiano siku zote mwisho wake ni mbaya.
Huyu jamaa ndie aliecti kwenye gladiator nini?Ila Djimon Hounsou ndio mtabe aisee. Kama alimzalisha Kimora Lee Simmons? Halafu alivokua mnaa akampeleka dogo mpaka kijijini kwao Benin akamwambia acha umama hii ndio origin yako. [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1493431View attachment 1493432View attachment 1493433
Confidence pekee kubwa ya money kwa mwanaume nikugonga eligible pooseys at willMoney inakupa power and confidence Sana tu, wahenga walinena pesa sabuni ya roho
Ila marehemu kobe Bryant alipata mke wa kweli licha wazazi wake kobe kumkataa. Kumbuka kamuoa akiwa teenager licha ya kobe kugonga nje yule mdada alimvumilia. Tena ni mlatinoAmani hiyo ni ya nini bita au corona..... Wanawake ni wabinafsi sana..... Na mnatamaa.... Mtu anakupa mali yake na pesa zake utumie kama zako na unajua source ya kutafuta ni yeye why unaleta usenge.....
Kama unajifanya unaondoka sababu ya maumivu ya hisia nenda basi kaanze maisha yako, unataka utajiri wake ili iwaje.... Usenge tu....
Nilifurahi Michael Jordan mwanamke wake alileta usenge kama huu jamaa ile anapiga chini tu alamba dili kali akapata pesa mara tatu ya zile alizochomolewa na settlement za mahakama.....
Me labda niwe hivi hivi wa kupata vi elfu 50,000 vya kubadilisha mboga, aisee niwe milionea aaaah wanawake ninawapa mimba tu mtoto akifika miaka mitatu nachukua mtoto wangu napita hivi naishi nao fresh tu hadi wanakuwa wakubwa.... Maana wanawake mna mambo ya kisenge sana..... Hela hamtafuti, hata mkitafuta hamna jeuri ya kutumia kwa mwanaume kama vile tunavyoshare nanyi, mnapenda kupewa attention za kifala utadhani ninyi ni watoto wadogo wakati majitu mazima na mna akili timamu.
Mtu unaacha kufocus na majukumu yako ya ndoa unaanza mfuatailia mwanaume katika mambo yasiyokuhusu mara utamani mali zake kisa roho ya ubinafsi imekuingia unataka umtoe roho ubaki na mali zake... Usenge tu..... [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]