Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Ha ha ha mbona povu mwanaaa,sa we unaoa MZUNGU au mmanga wategemea nn stimu za huba zikikata?ππNdio hapo unapoona kuwa haya mambo ya ndoa ni ufalaaaaaa
No wote ni watu weusi nmekupa Mariah Carey km mfano...Wait a minute ina maana mke wa dr dre ni mariah carey ama?
ananitafutia balaa alasiri hii......Maisha ni haya haya Ankoo, nimeona mzee wa urojo kakulinda [emoji3][emoji3][emoji3]
Wakina nani ?
black ukiwapiga ngumi hawatoki damuπ π
Au pengine blacks wanataka kukieneza kizazi chao? Kwa kupata shombeshombeπ€
No wote ni watu weusi nmekupa Mariah Carey km mfano...
ya nini kulala gizani haliyakuwa mwangaza upo
Mkuu acha kulalamika hao walifunga ndoa na kuwa mwili mmoja, pia mkewe kampatia mengi ikiwemo kumjali hisia na kimwili, kumzalia watoto, hata mumiliki wa Amazon wametalakiana na mkewe wamegawana pasu kwa pasu au ulitaka wavumiliane Hadi waje kuuana ka huku Africa.Ndipo hapa ninapowapinga waliberali.....
Jamani hebu TUWEKE HISIA za haki za kina mama pembeni.....
Yaani MWANAUME anahangaika toka ujana wake...ikumbukwe mpaka kuhangaika huko kafinyangwa na wazazi wake....halafu mke atakapo talaka basi HALF OF THE FORTUNE goes kwa mwanamke....
Huku ile half awatunze wanae,awasomeshe,awasaidie wazazi wake km wapo,ajipange tena kimaisha.Kumbuka Dre ni mwafrika...hata km Yuko kwa weupe bado zile Mila za UJAMAA WA KIFEMILI hauishi damuni mwetu.......
Msinifikirie vibaya ila nashangaa sioni ikipigwa pasu kwa pasu kwa wake matajiri pale wanapotalikiana na waume zao.....kwani wake matajiri hawapo?!!!
SERA NYINGI ZA KILIBERALI ZIMEUNDWA KWA AJILI YA MFUMO WA WATU WEUPE huku zikipigia chapuo FEMINISM....
Kiukweli sera HIZI zinaumiza Sana hasa kwa sisi waafrika na wasio wamagharibi.
Jamani KUTAFUTA Mali ndio kugumu kuliko yote DUNIANI...we huoni mpaka baadhi ya wenzetu huwa "mabaradhuli" wakaendewa na wanaume jamili zao.
We huoni mpaka watu wanamkana muumba wetu na kufanya makafara ya damu za vipenzi vyao ili mradi tu wapate MALI...
Yaani mi nadhani huko kwa kina Drake HAKUNA makafara ya kuwafanya ndondocha watoto,waume,wake na wazazi wao.
KWANI
Yangekuwepo hayo nadhani wasingeweka vipengele vyenye kupendelea WAKE ZETU.....
Yaani mi nnavyohangaikia vitoto vyangu halafu siku mwenzangu atake talaka na atake PASU KWA PASU yangu kisa ANANIPIKIA KISA ANANIPA USINGIZI KISA ANANIFULIA MASHATI yangu Yale ya kampeni za CCM na zile kanzu ZANGU ninazokwendea kula biriani katika hafla TOFAUTI....
Yaani wallahi nampandia boti CHOKOCHO Pemba,Bweni TANGA,Kasulu Kigoma kumtafutia KIJINI MAKATA cha laki 5[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwetu Africa ila America wote ni weusi tu...Kuna tofauti kati ya weusi wa lupita na beyonce au huyo mariah carey
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio mipango hiyo...kwani nyie wanawake mnapendaga basi....nyie mnaolewa kimkakati
Kile kidada Tiny ni Kiafrika ila ni kama biracial hivi..Hivi Yule mke wa Clifford Harris (T.I) hua ni black kweli? Halafu amekaa utafkiri porn actress
Kwetu Africa ila America wote ni weusi tu...
Kanye West yuko namba moja now,Kanye West na kampuni ya Yeezy anakuja kwa Kasi kuchukua hiyo namba 1
Kile kidada Tiny ni Kiafrika ila ni kama biracial hivi..
Siku hizi mostly blacks wapo biracial kupita maelezo
White man sio white tu kwa rangi,ni caucasian,yaani race ya whites..We hukumbuki wengi waliochukuliwa utumwani walikuwa KABILA la "kinyamwezi" kwa totoz white balaaaaaa
Lakini hata huko huko kwenu rangi hizo zimejaa labda uamue tu wewe mwenyewe kuchanganya rangi.ananitafutia balaa alasiri hii......
dae urojo amesema haoi mwanamke mweusi akifika kwa waliberali
Sio ajabu puff "didy" Hana habari kabisa na kuoakwa U.S ukishakuwa multi millionaire ni risk sana kuoa.unaikumbuka ile case ya Simpson
Umeanza vizuri, lakini ulipoanza kutiririka 'Kizungu' ndipo ulipoharibu.Dre punguani sana aiseee
Linaenda kuoa white women!
Suge alishasema Dre wanted so bad to be a whiteman,Suge kamwambia,huwezi kua,labda wanao wanaweza kua kwa asilimia fulani iwapo utaoa mwanamke mweupe...
The nigga did that shit!
Plus this weak ass nigga stole this white broad from another stupid monkey nigga NBA baller Sedale Threatt,another black color hating monkey nigga!
Sedale Threatt was so stupid kiasi kwamba he fathered more than 14 kids around!
Dre,such a loser!