Mke wa Dr Dre, Nicole Young aomba talaka

Mke wa Dr Dre, Nicole Young aomba talaka

Ndipo hapa ninapowapinga waliberali.....
Jamani hebu TUWEKE HISIA za haki za kina mama pembeni.....
Yaani MWANAUME anahangaika toka ujana wake...ikumbukwe mpaka kuhangaika huko kafinyangwa na wazazi wake....halafu mke atakapo talaka basi HALF OF THE FORTUNE goes kwa mwanamke....
Huku ile half awatunze wanae,awasomeshe,awasaidie wazazi wake km wapo,ajipange tena kimaisha.Kumbuka Dre ni mwafrika...hata km Yuko kwa weupe bado zile Mila za UJAMAA WA KIFEMILI hauishi damuni mwetu.......

Msinifikirie vibaya ila nashangaa sioni ikipigwa pasu kwa pasu kwa wake matajiri pale wanapotalikiana na waume zao.....kwani wake matajiri hawapo?!!!

SERA NYINGI ZA KILIBERALI ZIMEUNDWA KWA AJILI YA MFUMO WA WATU WEUPE huku zikipigia chapuo FEMINISM....

Kiukweli sera HIZI zinaumiza Sana hasa kwa sisi waafrika na wasio wamagharibi.

Jamani KUTAFUTA Mali ndio kugumu kuliko yote DUNIANI...we huoni mpaka baadhi ya wenzetu huwa "mabaradhuli" wakaendewa na wanaume jamili zao.
We huoni mpaka watu wanamkana muumba wetu na kufanya makafara ya damu za vipenzi vyao ili mradi tu wapate MALI...
Yaani mi nadhani huko kwa kina Drake HAKUNA makafara ya kuwafanya ndondocha watoto,waume,wake na wazazi wao.
KWANI
Yangekuwepo hayo nadhani wasingeweka vipengele vyenye kupendelea WAKE ZETU.....

Yaani mi nnavyohangaikia vitoto vyangu halafu siku mwenzangu atake talaka na atake PASU KWA PASU yangu kisa ANANIPIKIA KISA ANANIPA USINGIZI KISA ANANIFULIA MASHATI yangu Yale ya kampeni za CCM na zile kanzu ZANGU ninazokwendea kula biriani katika hafla TOFAUTI....
Yaani wallahi nampandia boti CHOKOCHO Pemba,Bweni TANGA,Kasulu Kigoma kumtafutia KIJINI MAKATA cha laki 5[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu acha kulalamika hao walifunga ndoa na kuwa mwili mmoja, pia mkewe kampatia mengi ikiwemo kumjali hisia na kimwili, kumzalia watoto, hata mumiliki wa Amazon wametalakiana na mkewe wamegawana pasu kwa pasu au ulitaka wavumiliane Hadi waje kuuana ka huku Africa.
Hii kugawana ni kitu nzuri na haki kwa wote
 
Kweli aisee daah.
Kile kidada Tiny ni Kiafrika ila ni kama biracial hivi..

Siku hizi mostly blacks wapo biracial kupita maelezo
GettyImages-1172656147.jpeg
 
We hukumbuki wengi waliochukuliwa utumwani walikuwa KABILA la "kinyamwezi" kwa totoz white balaaaaaa
White man sio white tu kwa rangi,ni caucasian,yaani race ya whites..

Kuna watu Africa ni weupe kabisa,ila sio wazungu yaani caucasian...

Nazungumzia caucasian mzee mwenzangu
 
ananitafutia balaa alasiri hii......
dae urojo amesema haoi mwanamke mweusi akifika kwa waliberali
Lakini hata huko huko kwenu rangi hizo zimejaa labda uamue tu wewe mwenyewe kuchanganya rangi.
Umeghairi kwenda kubeba mmoja kwa mzee Shimba? Ukiwa kule haukosi tuzawadi twa tung'ombe na tumbuzi
 
Dre punguani sana aiseee

Linaenda kuoa white women!

Suge alishasema Dre wanted so bad to be a whiteman,Suge kamwambia,huwezi kua,labda wanao wanaweza kua kwa asilimia fulani iwapo utaoa mwanamke mweupe...

The nigga did that shit!

Plus this weak ass nigga stole this white broad from another stupid monkey nigga NBA baller Sedale Threatt,another black color hating monkey nigga!

Sedale Threatt was so stupid kiasi kwamba he fathered more than 14 kids around!

Dre,such a loser!
Umeanza vizuri, lakini ulipoanza kutiririka 'Kizungu' ndipo ulipoharibu.
 
Back
Top Bottom