Mke wa Dr Dre, Nicole Young aomba talaka

Mke wa Dr Dre, Nicole Young aomba talaka

Aseme tu ameingia tamaa wenzake wamemshawishi azingue ili jamaa amegwe utajiri na mahakama wagawane mali.

Huko ulaya mataasisi ya mawakili wa ndoa na mahakama zinamake profit sana kwenye migogoro ya ndoa kama hii. Sometimes haina hata ulazima wa kuachana ila jamaa watapush watu waachane ili wao wapige hela......
Yani unataka avumilie kero na maumivu kisa kaolewa na bilionea, eeeh na huyo hajashawishiwa na yoyote kachoka tu mahusiano 24 years kavumilia na kuchoka ka migogoro haiishi. Na amekuja ku notice late money won't buy ur happiness, Kuna watu ni wazee wameachana na kesi ilitolewa talaka mahakamani kabisa.
Hii ya kujifanya kuvumilia ndo watu huuana ka sio kwa pressure kuchomana mikaa.
 
Namkubali sana Sean Combs (Puff daddy) jamaa amekomaa hadi sasa ana 50 years hawa malaya wamemuwinda wanaambulia mimba tu na anatemana nao watoto wakiwa wakubwa.... Watoto wake ni wakubwa balaa na anakaa nao mwenyewe.

Nikasema safi sana..... Kwa umri aliopo hana haja ya ndoa..... Hawa chuma ulete huwa wanataka kutuaminisha kuwa bila wao sisi wanaume hatuwezi toboa kumbe kinyume chake wanasafiria nyota zetu kujinufaisha....kutuzeesha tu na mabili ya kipuuzi mara wigi, mara nywele, mara mapochi, mara simu mpya mara mitoko all that for what....?!

Pumbavu sana... Piga chini huko....
Diddy nafikiri alishtukia mchezo kwa Jenifer Lopez maana aliachwa hivi hivi anaona maana alioza pale na nadhani ilibaki kidogo tu atangaze ndoa

Jenifer akampiga hela na umaarufu akaachwa solemba .

Kim porter kamvumila sana jamaa akiamini atazawadiwa ndoa jamaa kaweka kavu Hana hio habari

Cassie nae vile vile diddy angezubaa kidogo naamini Cassie angemliza [emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana dada wawatu kategaaa wee ndoa jamaa kakaza ikabidi sister wa watu aachie manyanga mwenyewe [emoji3][emoji3]

Ndio hapo Diddy kutambua kuwa angezubaa angekuwa lofa mazjma

Siiku hizi kawakusanya wanae wote wanakaa jumba moja anawasapoti Yuko bize na wanae na self love Hadi kujiita Sean love Combs

Ila Kama hajawa mpiga puli Basi atakuwa anawala Instagram model kimyakimya[emoji3][emoji123]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eeh, Blaza mbona Jazba namna hio, hizo ni sheria zimewekwa na kama hutaki kukumbana nazo basi usioe....simple and Clear.!🙄
Amani hiyo ni ya nini bita au corona..... Wanawake ni wabinafsi sana..... Na mnatamaa.... Mtu anakupa mali yake na pesa zake utumie kama zako na unajua source ya kutafuta ni yeye why unaleta usenge.....

Kama unajifanya unaondoka sababu ya maumivu ya hisia nenda basi kaanze maisha yako, unataka utajiri wake ili iwaje.... Usenge tu....

Nilifurahi Michael Jordan mwanamke wake alileta usenge kama huu jamaa ile anapiga chini tu alamba dili kali akapata pesa mara tatu ya zile alizochomolewa na settlement za mahakama.....

Me labda niwe hivi hivi wa kupata vi elfu 50,000 vya kubadilisha mboga, aisee niwe milionea aaaah wanawake ninawapa mimba tu mtoto akifika miaka mitatu nachukua mtoto wangu napita hivi naishi nao fresh tu hadi wanakuwa wakubwa.... Maana wanawake mna mambo ya kisenge sana..... Hela hamtafuti, hata mkitafuta hamna jeuri ya kutumia kwa mwanaume kama vile tunavyoshare nanyi, mnapenda kupewa attention za kifala utadhani ninyi ni watoto wadogo wakati majitu mazima na mna akili timamu.

Mtu unaacha kufocus na majukumu yako ya ndoa unaanza mfuatailia mwanaume katika mambo yasiyokuhusu mara utamani mali zake kisa roho ya ubinafsi imekuingia unataka umtoe roho ubaki na mali zake... Usenge tu..... [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
 
Mwenye pays ndefu ndio anagawa mshiko so hapo kanye yake itapasulia hio ya kimu itabaki kwake na Kanye ataendela kutoa child support in terms of money Hadi atakapokufa[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii child support kaa la Moto jmn,imagine mtoto is 7 years,yaani pasu umempa mamake anakuwa sc...wed na wengne kwa MPUNGA wako,huku unatumia kilichobak kumsukuma afike 18 yrs,loooo salaaleeee
 
Amani hiyo ni ya nini bita au corona..... Wanawake ni wabinafsi sana..... Na mnatamaa.... Mtu anakupa mali yake na pesa zake utumie kama zako na unajua source ya kutafuta ni yeye why unaleta usenge.....

Kama unajifanya unaondoka sababu ya maumivu ya hisia nenda basi kaanze maisha yako, unataka utajiri wake ili iwaje.... Usenge tu....

Nilifurahi Michael Jordan mwanamke wake alileta usenge kama huu jamaa ile anapiga chini tu alamba dili kali akapata pesa mara tatu ya zile alizochomolewa na settlement za mahakama.....

Me labda niwe hivi hivi wa kupata vi elfu 50,000 vya kubadilisha mboga, aisee niwe milionea aaaah wanawake ninawapa mimba tu mtoto akifika miaka mitatu nachukua mtoto wangu napita hivi naishi nao fresh tu hadi wanakuwa wakubwa.... Maana wanawake mna mambo ya kisenge sana..... Hela hamtafuti, hata mkitafuta hamna jeuri ya kutumia kwa mwanaume kama vile tunavyoshare nanyi, mnapenda kupewa attention za kifala utadhani ninyi ni watoto wadogo wakati majitu mazima na mna akili timamu.

Mtu unaacha kufocus na majukumu yako ya ndoa unaanza mfuatailia mwanaume katika mambo yasiyokuhusu mara utamani mali zake kisa roho ya ubinafsi imekuingia unataka umtoe roho ubaki na mali zake... Usenge tu..... [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Mzee baba umeamua kujilipua
 
Acha masihala kaka.........
Ndio ilivyo bro sema Kuna wengine wastaarabu huwa hawadai nyingi sana japo wana haki mfano mke wa bezos Mackenzie alikuwa na uwezo wa kudai pasu kwa pasu Ila alidai kidogo tu Leo ana 50b$ wakati bezos ana 161b$

Mwenye nyingi ndio inapasulia yake hasa Kama mlikuwa wote from mwanzo

Sheria za US mwanaume Ni option ya mwisho kabisa anaaza mtoto, mwanamke,mbwa,au paka (wanyama) ndio aje mwanaume

Ila Kuna prenup mfano Dre akioa tena asign prunep kwamba pesa zake na utajiri wake hautogusa pindi waki divorce tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simpsons fvcked up,Tiger Woods fvcked up,Kobe Bryant dead,Ice T fvcked up,Dre shitting on himself now,etc

Hua sielewi inakuaje unashindwa kuoa a human being who looks like you,I really dont get it!
What happened to ice T?
 
Ndio ilivyo bro sema Kuna wengine wastaarabu huwa hawadai nyingi sana japo wana haki mfano mke wa bezos Mackenzie alikuwa na uwezo wa kudai pasu kwa pasu Ila alidai kidogo tu Leo ana 50b$ wakati bezos ana 161b$

Mwenye nyingi ndio inapasulia yake hasa Kama mlikuwa wote from mwanzo

Sheria za US mwanaume Ni option ya mwisho kabisa anaaza mtoto, mwanamke,mbwa,au paka (wanyama) ndio aje mwanaume

Ila Kuna prenup mfano Dre akioa tena asign prunep kwamba pesa zake na utajiri wake hautogusa pindi waki divorce tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo prenup haipo kipindi Cha ndoa ya Kwanza?
 
walah wengi wetu tungebaki bachelor,
Ndoa is just sharing experiences tu...
Kiimani ni kuwa tunatimiza agano la Allah,Jehovah,Yahweh,Adonai that WE MEN HAVE BEEN CREATED MUSCULINE FOR caring our women and children then we gonna be paid huko tuendako...let's do our job kumridhisha mfalme wa wafalme otherwise kiduniadunia ndo masela huoni wanaikataa ndoa mpka wanaingia 40s😂😂😂
 
Back
Top Bottom