Hata manara na mwaka walikuwa kama wewe ππ na ma x wao ni ndala tena za gesti hausiSitajuta na nataman. Ziwa lishalegea huko Dodoma Headquarters nako breki aende tu
Sasa Manarer na Sura yake Ile aisee ilibid aheshimu Sana wanawake zake aisee. Maana wamejitoa muhangaHata manara na mwaka walikuwa kama wewe ππ na ma x wao ni ndala tena za gesti hausi
hawa wanawake wa kiislamu wenyewe wapuuzi tu, dunia ya leo unaendaje kuolewa mke wa pili, eti mpaka wa tatu. kwa maisha haya yaliyojaa stress Mwaka mwenyewe anajipatia rizki kwa njia ya udanganyifu amekaa kitapeli taoeli eti dokta, kasomea wapi. Maisha haya mke wa pili wanawake wenyewe wanataka awe na mwanaume muda wote na hawaridhiki kirahisi unaenda kumwolea wa pili mara paaap umeshindwa majukumu sasa unadhalilika, mke mpja alikuwa hamtoshelezi? sifa za kijinga tu. Jifunzeni kwa mzee Kikwete ana kila kitu ila mke wake moja tu
πππMtizamo wako unachekesha sana,Sasa Manarer na Sura yake Ile aisee ilibid aheshimu Sana wanawake zake aisee. Maana wamejitoa muhanga
Amna noma mkuu!!!Aaah, samahani mfanano wa majina.
Ya Dr Mwaka unanisingiziaje mimi mkuu ? hutaki kupewa taarifa ?ndo nini hii,, afu sijajua kumbe na wewe mnafiki kiasi hiki,,, uzi wako umekaa kiumbea na kashfa dhidi ya imani nyingine,, sasa tukikupa uongozi wewe na chama chako hicho unachokinadi humu kila siku utaweza kweli kuongoza makundi ya watu wote kwa usawa!!
Shehe kakaa kama komando kipensi
Taarifa zako zimekaa kiumbea na unafiki dhidi ya imani nyingine,,, ok taarifa za dokta mwaka na takbir zinahusiana nini ,.. ndio maana nikakuuliza,, utaweza kweli kuongoza makundi tofauti ukipewa dhamana na hiko chama chako unachokinadi kutwa kucha humu!!Ya Dr Mwaka unanisingiziaje mimi mkuu ? hutaki kupewa taarifa ?
Akihojiwa na Katika kipindi cha Jahazi cha Clouds FM,Dk Mwaka amesema kwamba ndoa yake mpaka sasa haijavunjwa kwa sababu Sheikh wa mkoa hana mamlaka ya kuvunja ndoa bali Kadhi.
Mashauri ya ndoa hushughulikiwa na kadhi kuanzia ngazi ya kata,wilaya,mkoa na Taifa,hivyo anahoji huyo Sheikh katoa wapi mamlaka ya kuvunja ndoa?
Huku akiwa ameambatana na mkewe, Dk Mwaka alisema kwamba kama huyo Sheikh angekuwa smart angalau angelipeleka kwa Kadhi ndio baadae atangaze baada ya Mahakama ya Kadhi kutoa hukumu, lakini he was not that smart.
Aliendelea kuhoji, hilo baraza lililiovunja ndoa yangu ni lini liliwahi kunisulihisha Mimi na mke wangu?Ndoa huvunjwa baada ya mashauri kufanyika kwanza,wakishindwa shauri hupelekwa kwa Kadhi ambae nae baada ya kutusikiliza wote ndio hutoa hukumu.
Kwahio hili baraza halina mamlaka ya kuvunja ndoa yoyote,mwenye mamlaka ya kuvunja ndoa ni Mahakama ya Kadhi baada ya jitihada za kusuluhisha kushindikana,huko nako bado sijawahi kuitwa japo mke wangu alipeleka shauri.
Je, utaratibu ukoje wadau?
Sio kweli.... Mbona mwanaume akiamka na kuamua kutoa talaka anatoa na inakubaliwa,ila kwa mwanamke kuomba talaka ndo mnasema mpaka pande mbili zikutane!!!!!????kuna kitu hujui kajaribu kujifunzaNdoa haivunjwi kiholela vile bila kusikilizwa pande mbili, msifikiri kisa mtu akisema tu jambo fulani ni kuivunja tu bila uthibitisho. Dini haiendeshwi kama daladala useme kila taratibu unajiwekea.
πππYule mwenzie kaachwa akaanza kuweweseka kwa kufanya birthday ya uzeeni,,
Tena kwa gharama kubwa.
Yote kujifariji.[emoji1787][emoji1787]
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Na wahuni je? Wanapindua meza za wahuni wenzaoWajanja ndio ugali wao
What a world! HaaaahaaaMwaka kajaa kwenye kumi na nane za Sheikh....hahahahaha
Anakwama daktaree kama ni hivyo si ajinywee dawa zake jamani, mbona sie anawauzia wame zetu πNaskia Dokta tackle Mbili back to the netππ