Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?


hawa wanawake wa kiislamu wenyewe wapuuzi tu, dunia ya leo unaendaje kuolewa mke wa pili, eti mpaka wa tatu. kwa maisha haya yaliyojaa stress Mwaka mwenyewe anajipatia rizki kwa njia ya udanganyifu amekaa kitapeli taoeli eti dokta, kasomea wapi. Maisha haya mke wa pili wanawake wenyewe wanataka awe na mwanaume muda wote na hawaridhiki kirahisi unaenda kumwolea wa pili mara paaap umeshindwa majukumu sasa unadhalilika, mke mpja alikuwa hamtoshelezi? sifa za kijinga tu. Jifunzeni kwa mzee Kikwete ana kila kitu ila mke wake moja tu
 
ndo nini hii,, afu sijajua kumbe na wewe mnafiki kiasi hiki,,, uzi wako umekaa kiumbea na kashfa dhidi ya imani nyingine,, sasa tukikupa uongozi wewe na chama chako hicho unachokinadi humu kila siku utaweza kweli kuongoza makundi ya watu wote kwa usawa!!
Ya Dr Mwaka unanisingiziaje mimi mkuu ? hutaki kupewa taarifa ?
 
taarifa zako zimekaa kinafiki na chuki dhidi ya imani nyingine,,, hizo takbirr na taarifa zako zina uhusiano gani,,,
 
Ya Dr Mwaka unanisingiziaje mimi mkuu ? hutaki kupewa taarifa ?
Taarifa zako zimekaa kiumbea na unafiki dhidi ya imani nyingine,,, ok taarifa za dokta mwaka na takbir zinahusiana nini ,.. ndio maana nikakuuliza,, utaweza kweli kuongoza makundi tofauti ukipewa dhamana na hiko chama chako unachokinadi kutwa kucha humu!!
 
Hakuna biashara nyepesi kama kufanya biashara na desperate woman...hawa madaktari wanaojitabainisha wa uzazi wanapiga hela mnoo wanajitajirisha mnoo aisee na hili suala la nguvu za kiume ndo balaa kumbe uongo mtupu na kujifanya ma motivesheni spika wa ndoa..wapi nyiee
 
Hapa kazi ipo, naona kama bado anampenda huyu bi mdogo. Mapensi bana asindikizwe na ile nyimbo ya kuachwa kuachwa...... pole zake.
 
Akihojiwa na Katika kipindi cha Jahazi cha Clouds FM,Dk Mwaka amesema kwamba ndoa yake mpaka sasa haijavunjwa kwa sababu Sheikh wa mkoa hana mamlaka ya kuvunja ndoa bali Kadhi.

Mashauri ya ndoa hushughulikiwa na kadhi kuanzia ngazi ya kata,wilaya,mkoa na Taifa,hivyo anahoji huyo Sheikh katoa wapi mamlaka ya kuvunja ndoa?

Huku akiwa ameambatana na mkewe, Dk Mwaka alisema kwamba kama huyo Sheikh angekuwa smart angalau angelipeleka kwa Kadhi ndio baadae atangaze baada ya Mahakama ya Kadhi kutoa hukumu, lakini he was not that smart.

Aliendelea kuhoji, hilo baraza lililiovunja ndoa yangu ni lini liliwahi kunisulihisha Mimi na mke wangu?Ndoa huvunjwa baada ya mashauri kufanyika kwanza,wakishindwa shauri hupelekwa kwa Kadhi ambae nae baada ya kutusikiliza wote ndio hutoa hukumu.

Kwahio hili baraza halina mamlaka ya kuvunja ndoa yoyote,mwenye mamlaka ya kuvunja ndoa ni Mahakama ya Kadhi baada ya jitihada za kusuluhisha kushindikana,huko nako bado sijawahi kuitwa japo mke wangu alipeleka shauri.

Je, utaratibu ukoje wadau?
 
Ndoa haivunjwi kiholela vile bila kusikilizwa pande mbili, msifikiri kisa mtu akisema tu jambo fulani ni kuivunja tu bila uthibitisho. Dini haiendeshwi kama daladala useme kila taratibu unajiwekea.
Sio kweli.... Mbona mwanaume akiamka na kuamua kutoa talaka anatoa na inakubaliwa,ila kwa mwanamke kuomba talaka ndo mnasema mpaka pande mbili zikutane!!!!!????kuna kitu hujui kajaribu kujifunza
 
Monica wa Masanja(msukuma)

Queen wa Mwaka(msukuma)

Mke wa Masawe( msukuma) aliyegoma kumzika mumewe bagamoyo

Orodha iendelee....
 
Back
Top Bottom