Unamatatizo ww labda inawezekanq ukawa ww ndy yule shehe ubwabwa anayejiita shekh wa daresalaamNdoa imevunjwa na Kadhi wa mkoa ,shehe mkuu wa mkoa na mashehe wengine.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Mwanaume huwa hazeeeki wewe ukichapwa mimba moja tumbo linashuka... Manyama kama yote unakuwa Lima baada ya miaka mitano.Mkiachwa mnachachawa hakuna cha kufulia, tena mnalia kwa kamasi kabisa live, mi aliniacha kwa mbwembwe nilipopata mtu wa kunioa alilia mbele ya kadamnasi hadharani alimwaga machozi alitambaa lakini ilikuwa too late,, baadhi ya wanaume mna ujinga mwingi
Na ana mapembe usoni.Shehe kakaa kama komando kipensi
Kajala Masanja.Monica wa Masanja(msukuma)
Queen wa Mwaka(msukuma)
Mke wa Masawe( msukuma) aliyegoma kumzika mumewe bagamoyo
Orodha iendelee....
Mjini watu wanaishi kwa akili, nguvu peleka bush uko[emoji16][emoji16]Haya maisha ya ajabu sana utakuta anayefundisha kuhusu kujikwamua kutoka kwenye kupungukiwa nguvu za kiume yeye mwenyewe hana hizo nguvu
Sasa kinachowaliza ni nini??Mwanaume huwa hazeeeki wewe ukichapwa mimba moja tumbo linashuka... Manyama kama yote unakuwa Lima baada ya miaka mitano.
Ila huyo mwanaume ndio Kwanza anakuwa mama kazaliwa hata baada ya miaka 20 na watoto wazuri wanazaliiwa daily ni kusaka hela na kuzila Mbususu
Huyo mwenyewe aliekuoa akikuzalisha mara 2 au 3 atakuwa anakuona kama limama Tunaanza kusumbuana mtaani kugombania pisi kali
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Wacha matusi jikite kwenye hoja,Unamatatizo ww labda inawezekanq ukawa ww ndy yule shehe ubwabwa anayejiita shekh wa daresalaam
Sibishani na wwpuuuzi kama nyie mashehe ubwabwq
Hapa sasa huenda mganga Mwaka ameshatembeza mlungula ili apate haki.
Acha uhuni ww nani aliye tangaza kuvunja ndoa ya mwaka na qWacha matusi jikite kwenye hoja,
Mke akishakwambiya hakutaki hata Dini inaeleza umpe talaka.
Sasa iweje mke akae mwaka mzima bila kupata haki zake za ndoa na matunzo ,,
useme bado una ndoa nae,
Kikao kilichovunja ndoa ni jopo zima la mashehe pamoja na Kadhi wa mkoa,,
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ha haa vyovyote vile ili mradi na yeye apengewe "kamasi" kama aliona ni rahisi.Kwa hiyo atafutwe mwamba wa kufanya hiyo kazi ya kumpengea kamasi "tabibu" Mwaka!?
Mbele ya BAHASHA chochote kinawezekana,Nimekwambia kama hujui kitu nenda kasome vizuri dini uache kukariri, huo uamuzi wa wale Masheikh umeshavunjwa na ndoa Ni halali hivi sasa. Kwanza hawana mamlaka ya kushughulika na masuala hayo
Hawana lolote,,Hua nashangaaga sana Watu kutamba kwenye Media kua wao ni wajuzi WA maswala ya ndoa,
Wapo wengi this Year mtawaona, this round watakubali.
Hujaelewa post. Dr Mwaka hataki ndoa anasema anataka baadhi ya mali zake. Only that!Dunia ina maajabu hii Wanaume siku hizi ndio wanagoma kuachika mfano Manara na Mwaka[emoji2955]