Mke wa Dr. Mwaka anadai Talaka 3. Sasa yale mafundisho yake ya ndoa tufuate au tumteme?

Hao ndo wanaume[emoji1787] wanataka mwanamke wa kumtawala ili wamnyanyase shenzi type. Huyo dada hapo hatoachika. Ataendelea kuwa mtumwa hadi afe.
Majanume ya hivi siyapendiii.

Na hayataki ufanye kazi. Mbafff
Kama huyapendi achana nayo fanya mambo yako. Hulazimishwi.
 
Na pia anaumia kuona anamuacha huru hivyo ataolewa na mwingine
Atoe talaka mali wakagawane mahakami hukoo anachohofia mwanamke atapata fungu lake ndio maana anataka mali mapemaa.
 
Hivi kuna watu wanaamini masuala ya ndoq au mapenzi yana darasa!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…