Mke Wa Dr. Salaa Josephine Alonga Na JF

Status
Not open for further replies.
 
Mkuu nakwambia hii issue ni mahususi kwaajili ya kupata kura za akina mama kuwa Dr ni hafai anaharibu familia za watu na amewazalilisha wanawake
Kumbe na wewe unatetea kitu unachojua ni planned ni hoax sasa nikianza na wewe una faida gani na taifa hili.
 
 
Kumbe na wewe unatetea kitu unachojua ni planned ni hoax sasa nikianza na wewe una faida gani na taifa hili.
Ninafaida sana ndio maana najaribu kuwataadhalisha lakini mnakuwa na shingo ngumu kugeuka
 
Natumaini watu wengi hawana wasi wasi na sera za Dr Slaa ninzuri sana kama zilivyo za vyama vingine
na hiyo unayo iita ndoa imeleta matatizo kwa baadhi ya watanzania akiwa mume halali na watoto wa na ndugu zo wa karibu

PAULS, I told you mimi ndo mtanzania nitakaepiga kura that is rubbish! they have to do better than that na hayo magazeti tunasoma sisi wajanja wa mjini tu, na huyo mahimbo ni SOAR LOOSER, wewe kama mawanaume lijali unakubali vipi mkeo akukimbie for all that time and then from nowhere unajidai kuibuka na kujidhalisha kwa manufaa ya wanasiasi, inawezekana he was not a man enough for her, then hizo kerere alizofundishwa na mafisadi zinadhihilishwa he has jumped onn loosers wagon!

Unajua kupigwa kibuti inauma kweli mazee, so Pauls naona na wewe unashabikia wagon ya loosers! back of man is not serving you well
 

hebu tupe msaada wa maana ya SOAR LOOSER. maana kwenye makosa ya kiswahili tunaweza kupata maana tukijitahidi ila hapo pamenipiga chenga kidogo.
 
Hilo nalo neno lakini si unajua tena kama mtu kapewa tumilioni kama hamsini hivi au hata mia, kibongo bongo unadhani atajali kama anajidhalilisha
lakini mkuu kwanini isiwekwe wazi hii kitu?
 
Duh!!
MF, huo ujumbe ni mkali..
Watanzania wanaelewa hayo? Au mpaka wachapwe viboko
 
Karibu jamvini mama Josephine Ushuhuda ulioutoa hapa Jf unatosha kwa leo. Sikushauri kujibu maswali unayoulizwa leo hii hii japo una uhuru wa kufanya hivyo. Jf ipo siku zote maswali ya msingi unaweza kuyafanyia kazi kwa mda wa kutosha kabla ya kuyajibu. Ama nakutakia heri, hekima, ustahamivu, upole na mengineyo kama hayo, katika kipindi hiki cha kumshauri rais wetu mtarajiwa Dr!
 
Muonyeshe hii

Atakuwa ameiona lakini watu hawa wana vichwa vigumu kweli huwa hawaamini hadi yatokee ya kutokea, unajua hata tulioambiwa kuwa Baba wa Taifa RIP amefariki hatukuamini ilituchukua takriban wiki hivi kukubali ukiongeza na wiki nyingine ya serikali kuficha zinakuwa wiki mbili, wao wasubiri wachague marehemu mtarajiwa wajanja tumeshashituka.

Nimejitahidi sana hii picha iwe signature yangu lakini nimeshindwa, lakini ujumbe umefika.
 
Hoooh sasa nimemuona
 

Attachments

  • josephine.jpg
    84 KB · Views: 47

Hujui unachokisema wewe. Na wewe unaweza kujiita moja ya ma-greatest thinker wa hii forum? Dear me!
 

Jamani msitumie uchafu wa watu wengine kuhalalisha uchafu mwingine. Suala limeshaandikwa kwanye vyombo vya habari. Now ni suala la Dr Slaa kukubali au kukanusha. Simple as that. Kusema kuwa Mwinyi alioa kibinti cha Jwangwani basi Dr Slaa naye anaweza kuiba mke wa mtu is a poor thinking.
 
Moja: Mi sina uhakika kama Mama Josephine kafunga ndoa na Dr. Slaa au bado. Kama bado kichwa cha habari kinanitatiza.Kama bado hawajafunga nadhani kwa mama Josehine kujiita mke wa Dr. Slaa ni makosa. Pili: Kwa vile tayari yuko na mtu ambaye anagombea nafasi kubwa kabisa kuliko zote nchini mwetu ni muhimu tujue baadhi ya mambo tusije tukawa na First Lady ambaye ni mtu wa karibu wa raisi ambaye hajatulia. Bado nataka kujua ni kweli aliachana na mume wake wa zamani? Maanake Hiyo ndio hoja ya msingi tunayotaka kujua Isije kuwa (mfano Dr. Slaa anashinda) halafu raisi anaishi na mke wa mtu itakuwa aibu kwa taifa.
 

Mkuu hapo afadhalali umenena. Watu hawajui nini maana ya kula kiapo. Wanafikiri kula kula kiapo ni mzaha.
 
Hicho ndicho kitu muhimu anachotakiwa Josephine kukifanya kwa sasa, yeye atulie kwanza atusome tunavyojibizana, hawa tumewazoea hawatupi shida, vinginevyo akianza kujibizana nao atastukia amepelekwa kusiko na watu wakatumia hiyo kama mtaji wa kisiasa, amuulize Zitto anayajua magazijuto yanavyochanganywa humu unaweza kulishwa maneno yasiyo yako.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…