Mke Wa Dr. Salaa Josephine Alonga Na JF

Mke Wa Dr. Salaa Josephine Alonga Na JF

Status
Not open for further replies.
Mkuu nakwambia hii issue ni mahususi kwaajili ya kupata kura za akina mama kuwa Dr ni hafai anaharibu familia za watu na amewazalilisha wanawake[/QUO
=======

kwa nini ufikiri Dr. anawadhalilisha akina mama badala ya kuwakomboa kutoka ndoa za kitumwa ambazo wengi wa akina mama wanaishi? Hii inakata kuwili. Kwa taarifa yako kuna wake wa mawaziri wanatembea na mashamba boys kwa utumwa na kero wanazopata na mawaziri wetu. Hao wanamwona Josephine kama shujaa.
 
Mkuu nakwambia hii issue ni mahususi kwaajili ya kupata kura za akina mama kuwa Dr ni hafai anaharibu familia za watu na amewazalilisha wanawake
Kumbe na wewe unatetea kitu unachojua ni planned ni hoax sasa nikianza na wewe una faida gani na taifa hili.
 
Mkuu nakwambia hii issue ni mahususi kwaajili ya kupata kura za akina mama kuwa Dr ni hafai anaharibu familia za watu na amewazalilisha wanawake[/QUO
=======

kwa nini ufikiri Dr. anawadhalilisha akina mama badala ya kuwakomboa kutoka ndoa za kitumwa ambazo wengi wa akina mama wanaishi? Hii inakata kuwili. Kwa taarifa yako kuna wake wa mawaziri wanatembea na mashamba boys kwa utumwa na kero wanazopata na mawaziri wetu. Hao wanamwona Josephine kama shujaa.
mkuu CCM wako very strategically wanajua nchi hii watu wanatamaduni zao, nitamaduni ya wabongo kukomaa na ndoa yako ,na jamii inachukulia kuwa wewe ndio muadilifu,
sasa anatokea mgombea anayeharibu taratibu zao kwa kuvuruga ndo za watu. JUST LIKE THAT
 
Kumbe na wewe unatetea kitu unachojua ni planned ni hoax sasa nikianza na wewe una faida gani na taifa hili.
Ninafaida sana ndio maana najaribu kuwataadhalisha lakini mnakuwa na shingo ngumu kugeuka
 
Natumaini watu wengi hawana wasi wasi na sera za Dr Slaa ninzuri sana kama zilivyo za vyama vingine
na hiyo unayo iita ndoa imeleta matatizo kwa baadhi ya watanzania akiwa mume halali na watoto wa na ndugu zo wa karibu

PAULS, I told you mimi ndo mtanzania nitakaepiga kura that is rubbish! they have to do better than that na hayo magazeti tunasoma sisi wajanja wa mjini tu, na huyo mahimbo ni SOAR LOOSER, wewe kama mawanaume lijali unakubali vipi mkeo akukimbie for all that time and then from nowhere unajidai kuibuka na kujidhalisha kwa manufaa ya wanasiasi, inawezekana he was not a man enough for her, then hizo kerere alizofundishwa na mafisadi zinadhihilishwa he has jumped onn loosers wagon!

Unajua kupigwa kibuti inauma kweli mazee, so Pauls naona na wewe unashabikia wagon ya loosers! back of man is not serving you well
 
PAULS, I told you mimi ndo mtanzania nitakaepiga kura that is rubbish! they have to do better than that na hayo magazeti tunasoma sisi wajanja wa mjini tu, na huyo mahimbo ni SOAR LOOSER, wewe kama mawanaume lijali unakubali vipi mkeo akukimbie for all that time and then from nowhere unajidai kuibuka na kujidhalisha kwa manufaa ya wanasiasi, inawezekana he was not a man enough for her, then hizo kerere alizofundishwa na mafisadi zinadhihilishwa he has jumped onn loosers wagon!

Unajua kupigwa kibuti inauma kweli mazee, so Pauls naona na wewe unashabikia wagon ya loosers! back of man is not serving you well

hebu tupe msaada wa maana ya SOAR LOOSER. maana kwenye makosa ya kiswahili tunaweza kupata maana tukijitahidi ila hapo pamenipiga chenga kidogo.
 
PAULS, I told you mimi ndo mtanzania nitakaepiga kura that is rubbish! they have to do better than that na hayo magazeti tunasoma sisi wajanja wa mjini tu, na huyo mahimbo ni SOAR LOOSER, wewe kama mawanaume lijali unakubali vipi mkeo akukimbie for all that time and then from nowhere unajidai kuibuka na kujidhalisha kwa manufaa ya wanasiasi, inawezekana he was not a man enough for her, then hizo kerere alizofundishwa na mafisadi zinadhihilishwa he has jumped onn loosers wagon!

Unajua kupigwa kibuti inauma kweli mazee, so Pauls naona na wewe unashabikia wagon ya loosers! back of man is not serving you well
Hilo nalo neno lakini si unajua tena kama mtu kapewa tumilioni kama hamsini hivi au hata mia, kibongo bongo unadhani atajali kama anajidhalilisha
lakini mkuu kwanini isiwekwe wazi hii kitu?
 
Mbona wewe unampenda marehemu mtarajiwa hatusemi.
Muonyeshe hii

48004_158525357494322_100000105773774_547649_3993164_n.jpg
 
Duh!!
MF, huo ujumbe ni mkali..
Watanzania wanaelewa hayo? Au mpaka wachapwe viboko
 
Karibu jamvini mama Josephine Ushuhuda ulioutoa hapa Jf unatosha kwa leo. Sikushauri kujibu maswali unayoulizwa leo hii hii japo una uhuru wa kufanya hivyo. Jf ipo siku zote maswali ya msingi unaweza kuyafanyia kazi kwa mda wa kutosha kabla ya kuyajibu. Ama nakutakia heri, hekima, ustahamivu, upole na mengineyo kama hayo, katika kipindi hiki cha kumshauri rais wetu mtarajiwa Dr!
 
Muonyeshe hii

48004_158525357494322_100000105773774_547649_3993164_n.jpg
Atakuwa ameiona lakini watu hawa wana vichwa vigumu kweli huwa hawaamini hadi yatokee ya kutokea, unajua hata tulioambiwa kuwa Baba wa Taifa RIP amefariki hatukuamini ilituchukua takriban wiki hivi kukubali ukiongeza na wiki nyingine ya serikali kuficha zinakuwa wiki mbili, wao wasubiri wachague marehemu mtarajiwa wajanja tumeshashituka.

Nimejitahidi sana hii picha iwe signature yangu lakini nimeshindwa, lakini ujumbe umefika.
 
Hoooh sasa nimemuona
 

Attachments

  • josephine.jpg
    josephine.jpg
    84 KB · Views: 47
Maaaama Mama Mamaaaaaaa,Mama huyoooo Mamaaaaa Mama huyooo Mamaaaa Mama huyooo Mama Li Mamaa hiloooooh!!!
Mama Josephine,pole kwa kwa yote unayo ya face,maisha ni maamuzi,hakuna mtu yeyote wa kuhoji kile amabacho wewe unaamua...
Ombi langu moja kwako Mama,kuwa Makini sana,CCM watakufuata (Kama hawajaanza bado) kuku rubuni um let down Dr Slaa..siamin kama utakubaliana nao kwa hilo,watatumia kila hila kukushawishi,tafadhali Mama,ushauri wangu na angalizo langu litilie mkazo.
Otherwise,karibu Mama,cha kwanza ukiwa first lady tu tushtakie mafisadi wooote wa WAMA wakiongozwa na yule anayetumia Fedha za misaada ya kina Mama kwa maslahi binafsi na mumewe

Hujui unachokisema wewe. Na wewe unaweza kujiita moja ya ma-greatest thinker wa hii forum? Dear me!
 
Bwana Kanyafu Nkanwa, Private matters are off Limit in politics, hakuna familia au mtu asiyekuwa na matatizo kwenye ndoa yake that is fact number one, pili usije kukuta wewe ndo worse zaidi kuliko Josephine, Kwani suala la uaminifu kwenye ndoa ni matatizo ambayo asilimia kubwa ya watanzania wanayo, Tatu ur not so sure with all facts kuwa what real transpared kumfanya amwache huyo bwana! hivyo kuna mengi yanasemwa lakini suala la msingi kwa nini yasemwe sasa? lengo la hao wanaoeneza mambo ya ndani ya mtu binafsi ambayo hayana TIJA kwa watanzania, ni nini lengo, kupotosha masuala ya msingi au kum disqualify Dr Slaa? kama ni hivyo hakuna raisi yeyote aliyepita na aliyepo madarakani ambao hawana scandal za kuwa na mahusiano ya kimapenza na watu ambao sio wake zao? acha kumhukumu binadamu mwenzako kwani nawe utahukumiwa! hii issue ni upuuzi mtupu kufatilia maisha binafsi ya mtu! Tukianza kushabikia mambo haya viongozi wote wachafuka vibaya sana! hivyo tujikite kujadili mstakabali wa nchi yetu sio mambo ya josephine as a person and her weakness
Yesu aliwaambia wale makuhani na watu mbalimbali waliyemletea yule mama aliyezini kuwa sheria inasema apigwe mawe mpaka mauti impate, lakini bwana YESU hakuhukumu alicho waambiia ambaye anajiona kuwa yeye hana hatia awe wa kwanza kuinua jiwe na kumpiga lakini baada ya mda mchache kila aliyekuwepo alijipeleza na kugundua hata yeye ana hatia mbele za mungu! Tujipeleleze kabla ya kuhukumu wengine na tuuache unafki, WEWE KANYAFU UNA USHAHIDI GANI NA HAYO YOTE YALIYOANDIKWA KWENYE MAGAZETI YANAYOTETEA UFISADI? KWANI HABARI YOYOTE INATAKIWA KUWA FAIR AND BALANCE KWA KUPATA UKWELI WA PANDE ZOTE MBILI, NA HILO LINAONYESHA KUWA MAFISADI WANATUMIA MACHINE ZAO ZA PESA N AVITISHO KUTAKA KULETA MAMBO YASIYOTUSAIDIA SISI WATANZANIA NA HILO TULILITEGEMEA KWANI SIO MARA YA KWANZA KWA MAFISADI KUFANYA CHARACTER ASSASINATION KWA WAPINZANI WAO TULISHUHUDIA DR SALIM AHMED SALIMU ALIVYOCHAFULIWA KWENYE KAMPENI ZA MWAKA 2005 NA MAZEZETA KAMA WEWE USIYEWEZA KUTUMIA AKILI ZAKO KUPAMBANUA NDO MLICHAGUA JK NA LEO NDO NCHI IKO NJIA PANDA, HIVI WEWE HUNA MATATIZO YAKO NA FAMILIA YAKO, NA JE MATATIZO YA FAMILIA YAKO YANATUHUSU NINI SISI AU YANA TIJA GANI KWETU?

MKAPA ALITENGANA NA ANNA MKAPA NA BAADAE ANNA MKAPA ALIZAA NA BASIL MRAMBA LAKINI MKAPA ALIMRUDIA ANNA MKAPA KWASABABU ALITAKA KUGOMBEA URAISI NA HIYO NI PERSONAL MATTERS YA MKAPA NA HAIKUWA ISSUE KWATU SISI, HALI KADHALIKA MZEE MWINYI KUOA KIBINTI CHA JAGWANI SECONDAY SCHOOL WAKATI ULE HAIKUWA ISSUE NI PERSONAL AND PRIVATE MATTERS, HALI KADHALIKA JK NA NYUMBA NDOGO LUKUKI THAT IS PRIVATE MATTERS NA NI PERSONAL ISSUE HAZINA MASLAHI WALA TIJA KWA TAIFA, PLS BACK OFF NA UJIPELELEZE KWANZA WEWE KABLA YA KUMYOOSHEA KIDOLE JOSEPHINE

Jamani msitumie uchafu wa watu wengine kuhalalisha uchafu mwingine. Suala limeshaandikwa kwanye vyombo vya habari. Now ni suala la Dr Slaa kukubali au kukanusha. Simple as that. Kusema kuwa Mwinyi alioa kibinti cha Jwangwani basi Dr Slaa naye anaweza kuiba mke wa mtu is a poor thinking.
 
Moja: Mi sina uhakika kama Mama Josephine kafunga ndoa na Dr. Slaa au bado. Kama bado kichwa cha habari kinanitatiza.Kama bado hawajafunga nadhani kwa mama Josehine kujiita mke wa Dr. Slaa ni makosa. Pili: Kwa vile tayari yuko na mtu ambaye anagombea nafasi kubwa kabisa kuliko zote nchini mwetu ni muhimu tujue baadhi ya mambo tusije tukawa na First Lady ambaye ni mtu wa karibu wa raisi ambaye hajatulia. Bado nataka kujua ni kweli aliachana na mume wake wa zamani? Maanake Hiyo ndio hoja ya msingi tunayotaka kujua Isije kuwa (mfano Dr. Slaa anashinda) halafu raisi anaishi na mke wa mtu itakuwa aibu kwa taifa.
 
Ndugu wanaJF,kwa wanaojua maisha ya ndoa,watakubaliana na mimi ndoa ni ya watu wawili ndoa haielezewi mahali pa wazi,ndoa ni ndani ya chumba chenu,watu wengi wamehukumu hasa wanapotazama maadili ya ndoa za kikristo

kukumbusha tu, ndoa yako iliacha kuwa ya watu wawili baada ya kwenda kuishudisha kanisani mbele ya kiongozi wa dini, ndugu, jamaa na marafiki.
Ndoa ya Slaa iliacha kuwa ni ya watu wawili baada ya kwenda kuinadi mbele ya kadamnasi, hatua iliyochukuliwa kuwa ni kibali kwa watu kuidodosa ndoa yake hiyo (kama kweli tunaweza kuiita ndoa)

mimi ni mkristu na nimejifunza Biblia vizuri,Lakini ni biblia hiyohiyo imetoa ruhusa kuwa ndoa inaweza kuvunjika kwa sababu ya msingi sana.

kimsingi biblia inaruhusu ndoa kuvunjika panapotokea tendo la zinaa kati ya mmoja wa wana ndoa........tunaweza kukubali maneno yako kuwa mmoja wenu aliingia kwenye zinaa lakini ungetoa usaidizi mzuri kama ungeeleza kutenguliwa kwa ndoa hiyo kule kule ilikofungwa......yaani kanisani.
kwa sababu bila ya kufanya hivyo, wananchi tunaendelea kuamini kuwa wewe uko ndani ya ndoa.

Nilikuwa na Uhuru kumpenda mtu aliyenipa amani na faraja.Na sikuwanasababu ya kujifunga katika shimo lisilokuwa na matumaini hati kwasababu ya ahadi au kiapo.Ni watu wangapi wamepoteza maisha sababu ya kuishi ndani ya viapo visivyo na matumaini?

fair enough. kila mmoja ana uhuru wa kumpenda yule amtakae.
shaka inakuja unaposema kuwa 'huwezi kujifunga ATI kwa sababu ya ahadi au kiapo'. Ukimaanisha kuwa ahadi au kiapo ni jambo dogo sana ambalo sio suala la kuzingatiwa.
Wewe kama wewe pia hakuna shaka kubwa, wananchi hatujali usipokuwa mtu wa kutimiza ahadi na viapo vyako. Lakini shaka kwa wapiga kura inakuja kuona mtu anaeweza kuwa rais wao hivi karibuni anaunga mkono vitendo vya kudharau ahadi na viapo.
Ahadi ni ahadi tu, ikiwa ndogo au kubwa. asiyeweza kutimiza ahadi na kuheshimu kiapo kidogo tunauhakika wa yeye kuweza kuheshimu viapo vitakavyohusiana na taifa?

NA MUNGU ATAFUNGUA NJIA NITAMTUNZA MUME WANGU MPYA ILI UMAKINI NA HEKIMA ZAKE ZILETE UKOMBOZI KWA WATANZANIA WOTE.

Hili neno mume unalitumia kwa tafsiri ipi?
mume wako kidini? kiserikali? kitamaduni?


Mkuu hapo afadhalali umenena. Watu hawajui nini maana ya kula kiapo. Wanafikiri kula kula kiapo ni mzaha.
 
Karibu jamvini mama Josephine Ushuhuda ulioutoa hapa Jf unatosha kwa leo. Sikushauri kujibu maswali unayoulizwa leo hii hii japo una uhuru wa kufanya hivyo. Jf ipo siku zote maswali ya msingi unaweza kuyafanyia kazi kwa mda wa kutosha kabla ya kuyajibu. Ama nakutakia heri, hekima, ustahamivu, upole na mengineyo kama hayo, katika kipindi hiki cha kumshauri rais wetu mtarajiwa Dr!
Hicho ndicho kitu muhimu anachotakiwa Josephine kukifanya kwa sasa, yeye atulie kwanza atusome tunavyojibizana, hawa tumewazoea hawatupi shida, vinginevyo akianza kujibizana nao atastukia amepelekwa kusiko na watu wakatumia hiyo kama mtaji wa kisiasa, amuulize Zitto anayajua magazijuto yanavyochanganywa humu unaweza kulishwa maneno yasiyo yako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom