Uchungu wa ndoa yako? wewe linda mke wako period, mijitu mingine bwana wakati hata lenyewe leo limetoka kwenye nyumba ndogo.Mkuu huwezi kujua yaliyomfanya aende kwenye vyombo vya habari. Inawezekana alilazimishwa kwa sababu fulani fulani. Au labda alijiendea mwenyewe. Uchungu wa ndoa?
Mbona wewe unapenda marehemu mtarajiwa una makengeza.kukosea kunukuu kifungu cha bibilia umeona kosa kubwa sana ambalo hawezi kulifanya,ila kuvunja kiapo cha ndoa halali iliyofungwa kanisani kwa mkristo safi kama yeye kwako its ok
ukipenda sana chongo unaona kengeza
Mkuu huwezi kujua yaliyomfanya aende kwenye vyombo vya habari. Inawezekana alilazimishwa kwa sababu fulani fulani. Au labda alijiendea mwenyewe. Uchungu wa ndoa?
Uchungu wa ndoa yako? wewe linda mke wako period, mijitu mingine bwana wakati hata lenyewe leo limetoka kwenye nyumba ndogo.
Mkuu ndoa ni swala la matakwa binafsi kisha mnafunga ndoa linakuwa la kisheria zaidi, swala ni kuwa ameivunja wapi ndoa ya kwanza kisheriaKanyafu Nkanwa; unavyosema siyo vyema. Kama wewe uko kwenye ndoa,utakuwa unajua matatizo yaliyoko kwenye ndoa. wako watanzania wengi katika ndoa ambao hawaelewani kwa sababu ambazo wameshindwa kuzitatua, badala ya kufanya maamuzi, wanaanza kwenda kwa nyumba ndogoz badala ya kumaliza tatizo au kuachana. Kama Josephina aliachana na huyo ambaye walikuwa hawaelewani na kuamua kuungana na yule ambaye moyo wake umemtuma kuwa anamfaa, mimi nampongeza.
Hilo Gazeti ambalo liliandika kama linajali maisha ya viongozi mbona hawaandika maisha ya Jk na hizo "several small houses" MAWANI
Ukijua itakusaidia niniili tujue kama ni muadilifu au muhuni anarukia tu wake za watu, asije kurukia na mali za uma tukimpa nchi
Baija.... wewe ni balaa aisee!!anamchukia Shy...., Chi....., n.k
Unataka uthibitisho. Mwanzoni kabisa niliwaambia nina furushi la information za Slaa. Hizi sasa hivi ni rasha rasha tu, ndogo sana. Stay tuned
Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ph-kulangwa-habari-leo-sasa-ni-zamu-yako.html
Ndugu wana JF,
Nimekuwa nikisoma nakufatilia trend zote zilizokuwa zinanihusu,naomba kuwashukuru wote mlioweza kutoa maoni ambayo yamewajenga wengi wanaopitia mtandao huu,leo nimeamua kuvunja ukimya na kujiunga na wana JF ili inapotakika basi mniulize mwenyewe kuliko kusikiliza watu wachache wenye ajenda zao binafsi.Mimi ndiye Josephine Mushumbusi.Sijawahi kuongea au kuulizwa chochote juu ya maisha yangu binafsi vyombo hivi nya habari vimekuwa vikiandika mengi juu yangu leo,sitashangaa sana kwakuwa hilo ni lengo lao.
Ndugu wanaJF,kwa wanaojua maisha ya ndoa,watakubaliana na mimi ndoa ni ya watu wawili ndoa haielezewi mahali pa wazi,ndoa ni ndani ya chumba chenu,watu wengi wamehukumu hasa wanapotazama maadili ya ndoa za kikristo,
mimi ni mkristu na nimejifunza Biblia vizuri,Lakini ni biblia hiyohiyo imetoa ruhusa kuwa ndoa inaweza kuvunjika kwa sababu ya msingi sana.
napenda niwaeleze,mtasoma mambo mengi,mimi ninao moyo mkuu kwakuwa najua nijinsi gani mtu anavyoweza kutumiwa,sikutengana na Mahimbo leo wala mwaka jana,nasikuanza kuishi na Dk leo.
Naomba tu mjiulize katika utaratibu wa kawaida Ndugu tunao,wachungaji tunao mbona wao wako kimya?naelewa na ninajua vitisho vyote alivyopewa mahimbo na kutengeneza habari hizi zote,Ndugu zangu tusipende kutengenezeana shutuma kwani tunajichumia dhambi za bure,USILOLIJUA NIKAMA USIKU WA GIZA
Nilikuwa na Uhuru kumpenda mtu aliyenipa amani na faraja.Na sikuwanasababu ya kujifunga katika shimo lisilokuwa na matumaini hati kwasababu ya ahadi au kiapo.Ni watu wangapi wamepoteza maisha sababu ya kuishi ndani ya viapo visivyo na matumaini?
Nitasonga mbele na Kumuangalia Mungu kama Hakimu wa kweli,sitaogopa Mtu yeyeto kutoa maoni yake binafsi juu ya maisha yetu kwani hatukuyaanza leo.
Wahariri nivema mkatumia utaalamu wenu na si kutumika kama mnavyotumiwa sasa,Nililijua hili mapema sitarudi nyuma daima tutasonga mbele.
NA MUNGU ATAFUNGUA NJIA NITAMTUNZA MUME WANGU MPYA ILI UMAKINI NA HEKIMA ZAKE ZILETE UKOMBOZI KWA WATANZANIA WOTE.NITASIMAMA KATIKA ZAMU YANGU KAMA MKE MWEMA NA HAKUNA LITAKALOHARIBIKA,KWANI NINAYAWEZA YOTE KWAKE YEYE ANAYENITIA NGUVU.Efeso 4:13
Najua jambo moja tu,mipango ya Mungu si kama mipango ya wanadamu.na ndiyomaana ametupa ujasiri wa kujiweka wazi bila kuogopa shutuma zozote.
[/COLOR][/B]
lakini mkuu nina huyo unamzungumzia maana hata Dr ana mitoto na wanawake,
ndoa ni muhimu kwa rais mkuu hatuwezi kuwa na rais muhuni anaye iba wake za watu na akajificha kwa kivuli cha private matters
Hakuna shida mzee wameingia choo cha kike, wanafikiri wao wajanja zaidi kupanga vitu na kivileta hapa JF wanapima upepo watakimbia wenyewe, nimechukua likizo nita dili nao sambamba. Afterall wanaposema kachafuliwa, kachafuliwa kwenye internet maana kuko vjijini hata magazeti hayafiki anachanja mbuga kama kawa.Mkuu hawa Vichwa vya Panzi ni kwenda nao Taratiibu tu
hata uzinzi au kusaliti ndoa ni suala la kisheria kwani umekiuka masharti ya ndoa tunayosaini kwenye makaratasi ya serikaliMkuu ndoa ni swala la matakwa binafsi kisha mnafunga ndoa linakuwa la kisheria zaidi, swala ni kuwa ameivunja wapi ndoa ya kwanza kisheria
hapana mkuu ungeangalia vizuri nilitumia lugha aliyotumia niliyekuwanamjibu kwa hiyo post nayeye alitumia mitotoWewe ndio Mahimbo nini?Mbona unaonyesha CHUKI YAKO hadharani?MITOTO ndio nini?
Huwezi kuwa na rais mhuni kwani huyu tunayetaka kumtoa madarakani msafi?
Nakuuliza ukishajua imevunjiwa wapi itakusaidia nini, mbona mimi najua vimada wa JK lakini sifuatilii najua hawatanisaidia kitu.Mkuu ndoa ni swala la matakwa binafsi kisha mnafunga ndoa linakuwa la kisheria zaidi, swala ni kuwa ameivunja wapi ndoa ya kwanza kisheria
Lakini hakuna ubaya kwa rais kuchagua hawara zake kuwa ma-DC na mabalozi?Mkuu tuhuma za kuiba mke wa mtu sio cheap politics. Ni suala nyeti na wapiga kuwa wana haki ya kujua what is going on. On one hand tuliambiwa huyu ni mchumba wake. Sasa tunaambiwa ni mume wake. Ina maana waliona lini? Lazima tujue our first lady atakuwa mchumba au mke wa rais. Inawezakana hii ikawa cheap politics kwako, lakini wewe sio mpiga kura pekee. Pia usisahau sio wapiga kura wote wanaoisoma Jamii forums.
nakubaliana na wewe lakini kama unasaliti si ni mpaka ukamatwe na ushahidi uwepo na sio hearsay mnayoisemahata uzinzi au kusaliti ndoa ni suala la kisheria kwani umekiuka masharti ya ndoa tunayosaini kwenye makaratasi ya serikali
Mkapa alilalamikiwa na nani?
nakubaliana na wewe lakini kama unasaliti si ni mpaka ukamatwe na ushahidi uwepo na sio hearsay mnayoisema
Hakuna shida mzee wameingia choo cha kike, wanafikiri wao wajanja zaidi kupanga vitu na kivileta hapa JF wanapima upepo watakimbia wenyewe, nimechukua likizo nita dili nao sambamba. Afterall wanaposema kachafuliwa, kachafuliwa kwenye internet maana kuko vjijini hata magazeti hayafiki anachanja mbuga kama kawa.