Mke Wa Dr. Salaa Josephine Alonga Na JF

Status
Not open for further replies.
Mkuu huwezi kujua yaliyomfanya aende kwenye vyombo vya habari. Inawezekana alilazimishwa kwa sababu fulani fulani. Au labda alijiendea mwenyewe. Uchungu wa ndoa?
Uchungu wa ndoa yako? wewe linda mke wako period, mijitu mingine bwana wakati hata lenyewe leo limetoka kwenye nyumba ndogo.
 
kukosea kunukuu kifungu cha bibilia umeona kosa kubwa sana ambalo hawezi kulifanya,ila kuvunja kiapo cha ndoa halali iliyofungwa kanisani kwa mkristo safi kama yeye kwako its ok
ukipenda sana chongo unaona kengeza
Mbona wewe unapenda marehemu mtarajiwa una makengeza.
 
Mkuu huwezi kujua yaliyomfanya aende kwenye vyombo vya habari. Inawezekana alilazimishwa kwa sababu fulani fulani. Au labda alijiendea mwenyewe. Uchungu wa ndoa?

Hivi Alitoswa Lini? Na kwa nini analilia leo kipindi hiki?
 
Uchungu wa ndoa yako? wewe linda mke wako period, mijitu mingine bwana wakati hata lenyewe leo limetoka kwenye nyumba ndogo.

Mkuu hawa Vichwa vya Panzi ni kwenda nao Taratiibu tu
 
Mkuu ndoa ni swala la matakwa binafsi kisha mnafunga ndoa linakuwa la kisheria zaidi, swala ni kuwa ameivunja wapi ndoa ya kwanza kisheria
 
Unataka uthibitisho. Mwanzoni kabisa niliwaambia nina furushi la information za Slaa. Hizi sasa hivi ni rasha rasha tu, ndogo sana. Stay tuned

Beware,ukijifanya suicide bomber ujue mwishowe ni wewe mwenyewe kupoteza maisha kama hayo ya targets wako!
 

Hapo kwenye blue hapo namsifu huyu mama kwakutoanika hizo sababu kwani hakutaka kumzalilisha mwenzake kama nilivyojifunza kuwa hata mkiachana achaneni kwa wema

huyu jamaa ***** kwanini kipindi hiki mbona kipindi cha kutafuta wadhamini hakujitokeza kulalamika wakati alipotambulishwa?

Huyu jamaa kweli ni ***** na anastahili kuachwa
 
[/COLOR][/B]

lakini mkuu nina huyo unamzungumzia maana hata Dr ana mitoto na wanawake,
ndoa ni muhimu kwa rais mkuu hatuwezi kuwa na rais muhuni anaye iba wake za watu na akajificha kwa kivuli cha private matters

Wewe ndio Mahimbo nini?Mbona unaonyesha CHUKI YAKO hadharani?MITOTO ndio nini?

Huwezi kuwa na rais mhuni kwani huyu tunayetaka kumtoa madarakani msafi?
 
Mkuu hawa Vichwa vya Panzi ni kwenda nao Taratiibu tu
Hakuna shida mzee wameingia choo cha kike, wanafikiri wao wajanja zaidi kupanga vitu na kivileta hapa JF wanapima upepo watakimbia wenyewe, nimechukua likizo nita dili nao sambamba. Afterall wanaposema kachafuliwa, kachafuliwa kwenye internet maana kuko vjijini hata magazeti hayafiki anachanja mbuga kama kawa.
 
Mkuu ndoa ni swala la matakwa binafsi kisha mnafunga ndoa linakuwa la kisheria zaidi, swala ni kuwa ameivunja wapi ndoa ya kwanza kisheria
hata uzinzi au kusaliti ndoa ni suala la kisheria kwani umekiuka masharti ya ndoa tunayosaini kwenye makaratasi ya serikali
 
Duh! mambo mengine sijui nisemeje.

Kwani Josephine amelazimishwa kwenda kwa Slaa? Ni hiari yake mwenyewe bila shaka. Sheria haiwezi kuwa juu ya upendo. Kama mapenzi hayapo baina ya wawili, basi mkataba huweza kuvunjwa kwa vitendo, na pia kisheria. Tusiwe wafungwa na wanafiki.

Nyie vipaza sauti vya mafisadi acheni hoja nyepesi nyepesi.
 
Wewe ndio Mahimbo nini?Mbona unaonyesha CHUKI YAKO hadharani?MITOTO ndio nini?

Huwezi kuwa na rais mhuni kwani huyu tunayetaka kumtoa madarakani msafi?
hapana mkuu ungeangalia vizuri nilitumia lugha aliyotumia niliyekuwanamjibu kwa hiyo post nayeye alitumia mitoto
 
Mkuu ndoa ni swala la matakwa binafsi kisha mnafunga ndoa linakuwa la kisheria zaidi, swala ni kuwa ameivunja wapi ndoa ya kwanza kisheria
Nakuuliza ukishajua imevunjiwa wapi itakusaidia nini, mbona mimi najua vimada wa JK lakini sifuatilii najua hawatanisaidia kitu.
 
Lakini hakuna ubaya kwa rais kuchagua hawara zake kuwa ma-DC na mabalozi?
 
hata uzinzi au kusaliti ndoa ni suala la kisheria kwani umekiuka masharti ya ndoa tunayosaini kwenye makaratasi ya serikali
nakubaliana na wewe lakini kama unasaliti si ni mpaka ukamatwe na ushahidi uwepo na sio hearsay mnayoisema
 
Mkapa alilalamikiwa na nani?

The answer,as they say,is in the same question.Kwanini hukumlalamikia Mkapa aliyekuwa rais kwa miaka 10 lakini leo povu linakutoka kuhusu Dr Slaa?Sio double standard bali ni hizo njaa zenu zinawasumbua.

Mnafahamu fika kuwa teuzi mbalimbali za akinamama katika awamu ya JK zimefanywa kutokana na"mahusiano binafsi" lakini mmekaa kimya.Leo mnajifanya watetezi wa haki!Mshajulikana,tatizo lenu sio Josephine au Rose Kamili bali ni wasiwasi wenu kuwa Slaa akiingia Ikulu MMEKWISHA,NO MORE UFISADI.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…