Kanyafu Nkanwa; unavyosema siyo vyema. Kama wewe uko kwenye ndoa,utakuwa unajua matatizo yaliyoko kwenye ndoa. wako watanzania wengi katika ndoa ambao hawaelewani kwa sababu ambazo wameshindwa kuzitatua, badala ya kufanya maamuzi, wanaanza kwenda kwa nyumba ndogoz badala ya kumaliza tatizo au kuachana. Kama Josephina aliachana na huyo ambaye walikuwa hawaelewani na kuamua kuungana na yule ambaye moyo wake umemtuma kuwa anamfaa, mimi nampongeza.
Hilo Gazeti ambalo liliandika kama linajali maisha ya viongozi mbona hawaandika maisha ya Jk na hizo "several small houses" MAWANI