Wandugu Kama mjuavyo penye msiba hapakosi kilio... huyu hapa chini ni mke wa hayati Mrema akimlilia mumewe kwa uchungu...
Wanazengo wengi wametoa maoni yao kwamba hiki sio kilio cha kweli kwani mliaji wa ukweli hawezi kulia na miwani, pia mliaji wa kweli anatoa machozi, pia mliaji huyu bado ana nguvu zake za kutosha tofauti na wafiwa wengine wenye uchungu ambao huwa walegevu na kukosa nguvu.
Pembeni anaonekana kijana wa Mzee Mrema ambaye amebeba msalaba akiwa na sura yenye umakini akitupilia jicho kwa mama yake huyu mdogo ambaye yuko bize na kilio.
Binafsi siwezi kumsemea siwezi kumsemea huyu mwanamke kwa kuwa mfiwa ndio anajua zaidi.
Acheni kunyanyasa wajane jamani, hao babu zenu walitaka wenyewe wapate raha kabla hawajafa na wameipata kwanini Wajane muwatolee macho mlitaka Babu zenu wafe kwa stress wakati wamechuma Mali miaka yao yote.
Pole kwa mjane, inaweza kuwa miongoni mwa ndoa zilizodumu kwa muda mfupi zaidi! Ndani ya mwaka 1 kafa mke wa Mrema, Mrema kaoa na kifo cha Mrema! R.I.P Lyatonga!
Ila Huyo mdada bado ni mbichi sana na ameonesha alimpenda sana mwenye namba yake anisaidie plz ,,naweza ogelea Kwa hiyo swimming Yuko poa sana aseee,,,