Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Jamani mshahesabiwa huko?
Wandugu Kama mjuavyo penye msiba hapakosi kilio... huyu hapa chini ni mke wa hayati Mrema akimlilia mumewe kwa uchungu...
Wanazengo wengi wametoa maoni yao kwamba hiki sio kilio cha kweli kwani mliaji wa ukweli hawezi kulia na miwani, pia mliaji wa kweli anatoa machozi, pia mliaji huyu bado ana nguvu zake za kutosha tofauti na wafiwa wengine wenye uchungu ambao huwa walegevu na kukosa nguvu.
Pembeni anaonekana kijana wa Mzee Mrema ambaye amebeba msalaba akiwa na sura yenye umakini akitupilia jicho kwa mama yake huyu mdogo ambaye yuko bize na kilio.
Binafsi siwezi kumsemea siwezi kumsemea huyu mwanamke kwa kuwa mfiwa ndio anajua zaidi.
Wandugu Kama mjuavyo penye msiba hapakosi kilio... huyu hapa chini ni mke wa hayati Mrema akimlilia mumewe kwa uchungu...
Wanazengo wengi wametoa maoni yao kwamba hiki sio kilio cha kweli kwani mliaji wa ukweli hawezi kulia na miwani, pia mliaji wa kweli anatoa machozi, pia mliaji huyu bado ana nguvu zake za kutosha tofauti na wafiwa wengine wenye uchungu ambao huwa walegevu na kukosa nguvu.
Pembeni anaonekana kijana wa Mzee Mrema ambaye amebeba msalaba akiwa na sura yenye umakini akitupilia jicho kwa mama yake huyu mdogo ambaye yuko bize na kilio.
Binafsi siwezi kumsemea siwezi kumsemea huyu mwanamke kwa kuwa mfiwa ndio anajua zaidi.