hahahahaChameleon huwa mpumbavu sana, siku moja nikiwa pale Kyaka mwaka 2009 nikielekea Uganda tukakutana nae pale ofisi ya Uhamiaji. Kwanza alituma wapambe wamgongeshee pasipoti yake, Maafisa Uhamiaji wa kile kituo wakagoma, wakasema lazima aje physically. basi jamaa akaja kwa spidi flani huku anajikongoja na gongo (inasemekana aliangukaga kutoka ghorofani akiwa usingizini huko Arusha) huku akilalalamika kama kakosewa vile. Akaja akanipita kwenye mstari akasimama mbele yangu. Na mimi sikumkopesha, nikashika shati nikamrudisha nyuma. Akaanza kuniletea umaarufu wake nikamwambia tulia kijana ntakutoa manundu.
hehehe aiseembona vibao havimtoshi!!!!! angemng'oa na meno
kumbe we ni mkweo hayeyeyeye, muulize dogo janja kilichompata hapa hahaha
sikiliza anzia dakika ya 20, na madee aliunganishwa hapo
wamemzungusha mpaka akaenda USA ilipoandaliwa hiyo filamuChamilioner ujanja ni kumualika kwenye show na kumtembezea chupa za kichwa..... Aache kupenda mteremko mtoto wa kiume...... Halafu mamlaka zetu sijui kama wanampa support Majani.....
hahahahDogo amenichekesha anavyomuigiza kuongea huyo pfunk, ;,,,
Sio producers tu watanzania wote kwaujumla, watz ni watu wakuamini sana uchawi na kumuachia Mungu kila kituMaproducer wote wakubwa wangekua Na attitude Kama ya huyu jamaa bs mziki WA bongo ungekua na thamani Sana na wao wangekua vzur Sana kiuchumi
Dogo nae comedy aisee, ,,,Ila nahisi dogo janja atakuwa alimla baadae huyo mtoto wa Kajalahahahah
ilo ni kweliSio producers tu watanzania wote kwaujumla, watz ni watu wakuamini sana uchawi na kumuachia Mungu kila kitu
kabisaDogo nae comedy aisee, ,,,Ila nahisi dogo janja atakuwa alimla baadae huyo mtoto wa Kajala
LolChameleon huwa mpumbavu sana, siku moja nikiwa pale Kyaka mwaka 2010 nikielekea Uganda tukakutana nae pale ofisi ya Uhamiaji akitokea kwenye Show Bukoba mjini.
Kwanza alituma wapambe wamgongeshee pasipoti yake, Maafisa Uhamiaji wa kile kituo wakagoma, wakasema lazima aje physically.
Basi jamaa akaja kwa spidi flani huku anajikongoja na gongo (inasemekana aliangukaga kutoka ghorofani akiwa usingizini huko Arusha) huku akilalalamika kama kakosewa vile.
Akaja akanipita kwenye mstari akasimama mbele yangu. Na mimi sikumkopesha, nikashika shati nikamrudisha nyuma. Akaanza kuniletea umaarufu wake nikamwambia tulia kijana ntakutoa manundu, akaufyata.
angalia kuanzia dakika ya 4.1Dogo nae comedy aisee, ,,,Ila nahisi dogo janja atakuwa alimla baadae huyo mtoto wa Kajala
mgoja adai haki yakeSasa anadai hela kwa kujaribu kupigana nchi ya watu hawa watoto wa kulelewa na mzazi mmoja hovyo sana