Mke wa Jose Chameleone ashuhudia mmewe akitandikwa mabanzi na P-funk majani Kampala

huyo jamaa tapeli kweli ..
Shigongo mwenywe alitapeliwa hapo
Daah umemtaja shigongo ...nimepishana nae hapa mori naona anawakiana na traffic kinoma..Mzee mzima ndani ya white vogue
 
Majani na Master Jay ni maproducer pekee wenye akili bongo, na wameweza kunufaika na kazi zao kutokana na kujitambua kwao
 
Ila imekuaje hizo dili zikawa zinapita tu hadi ye anakuta zimeenda inaonekana kalala kidogo
 
jmn uganda kunani chamilion kala mbata toka kwa p.funk na bob wine naye bungen katembeza kipigoooo haaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…