Haki ipi mdundo huo unawezaje kuhakikisha ni wakemgoja adai haki yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki ipi mdundo huo unawezaje kuhakikisha ni wakemgoja adai haki yake
Chameleon huwa mpumbavu sana, siku moja nikiwa pale Kyaka mwaka 2010 nikielekea Uganda tukakutana nae pale ofisi ya Uhamiaji akitokea kwenye Show Bukoba mjini.
Kwanza alituma wapambe wamgongeshee pasipoti yake, Maafisa Uhamiaji wa kile kituo wakagoma, wakasema lazima aje physically.
Basi jamaa akaja kwa spidi flani huku anajikongoja na gongo (inasemekana aliangukaga kutoka ghorofani akiwa usingizini huko Arusha) huku akilalalamika kama kakosewa vile.
Akaja akanipita kwenye mstari akasimama mbele yangu. Na mimi sikumkopesha, nikashika shati nikamrudisha nyuma. Akaanza kuniletea umaarufu wake nikamwambia tulia kijana ntakutoa manundu, akaufyata.
Mkuu KOSOTA ni ipi hiyo??mambo mengine yanaudhi sana mkuu
Acha upumbavu!Haki ipi mdundo huo unawezaje kuhakikisha ni wake
Swali ni hilo ni wake kweli au nani maana hati miliki ikiwa Tanzania inahusianaje na sheria za UgandaAcha upumbavu!
Kwani unadhani hakuna sheria za kimataifa kuhusu hati miliki?Swali ni hilo ni wake kweli au nani maana hati miliki ikiwa Tanzania inahusianaje na sheria za Uganda
We ni falaAsingempiga vibao, angefuata mkondo wa sheria tu.
Ukijibizana na fala nawewe ni fala tu.We ni fala
Unadhani huu ni uzi wa kubeti? Nenda kabeti hukoWe ni fala
Zinasimamiwa na UN au na nani?Kwani unadhani hakuna sheria za kimataifa kuhusu hati miliki?
Kumbehuyo jamaa tapeli kweli ..
Shigongo mwenywe alitapeliwa hapo
Afande sele alikula kibaoMi nilicheka alivyompa makofi Afande Sele, unajua sometimes watu wazima wanaweza kufanya mambo ya kunja mbavu kama watoto.