nchonga aliyebaki
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 574
- 834
Hahaha aiseeeHapana.amefanya sahihi.mtu amechukua si chini ya mil 150 za kibongo.kizembe.alaf anakuletea ujeuri.Mimi ningemla ndogo kabisa na mkewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha aiseeeHapana.amefanya sahihi.mtu amechukua si chini ya mil 150 za kibongo.kizembe.alaf anakuletea ujeuri.Mimi ningemla ndogo kabisa na mkewe.
Ulikuwa kwenye dala dala?Daah umemtaja shigongo ...nimepishana nae hapa mori naona anawakiana na traffic kinoma..Mzee mzima ndani ya white vogue
YesQueen of Katwe, movie nzuri sana.
Hahaha anachangamsha mkonoAlishafuata alikuwa anachangamsha viganja tu kupooza machungu.
HahahaAngemla tope kabisa mamammae. Analeta mambo ya kisengerema hapa
Nah...ndani ya BMW mkuuUlikuwa kwenye dala dala?
KabisaHata Tekno na ujanja wake anaibiwa
industry ya Africa..beat makers hawathaminiwi kabisa..
Vipi kwani mkuu.. Mbona umeshtuka?hahaha WE NAE
kumbe we ni mkweo hayeyeyeye, muulize dogo janja kilichompata hapa hahaha
sikiliza anzia dakika ya 20, na madee aliunganishwa hapo