Mke wa Juma aliyepigwa na Wafanyakazi wa 'OYA' aeleza alivyokopa

Mke wa Juma aliyepigwa na Wafanyakazi wa 'OYA' aeleza alivyokopa

Hao OYA ni hatari balaa, kuna sehemu walikuwepo wametega IST moja nasikia watu wanasema anadakwa mtu sasa hivi...mara Mama mmoja akiwa na mwenzake kaambiwa "haya leo tunaondoka na wewe ingia kwenye gari, wewe kila siku unatupiga chenga chenga tu na kuambiwa umehama unapokaa, ingia kwenye gari" jamaa wanaongea kwa sauti hadi watu kujaa, yule mama nilimhurumia asee.

Hali inatisha wakuu
Na wahanga wakuu wa hizi micro credit ni kina mama.
Kuna namna inapaswa kufanywa kuwanusuru kina mama na kadhia hii.
Harakati za kina mama kupitia hii mikopo zimeleta majanga mengi sana kwenye familia
 
Yaani kwenye hiyo comment yangu kuwataja dada zako na mkeo unajihisi kuwa offended???? Kivipi yaani hapo na wakati nimetolea kama mfano??

Wewe jamaa una akili kama za mtoto wa kike ambaye Bado Yuko kwenye adolescence, maana wasichana wa umri huo ndio wanakuwaga na mihemko sana kama hii unayoinesha hapa...

Inavyooneka umedekezwa sana kwenye makuzi yako wewe na ndio maana uko too emotional na huruma zako za kijinga..

Narudia Tena kama una ndugu zako au watu wa karibu ambao wanaopenda kukopa kopa mara kwa mara wasisitize wawe wanalipa madeni kwa wakati na sio usubiri wakirlfisiriwa uanze kuwapa sympathy za kipuuzi hapa Wakati makosa ni ya kwao wenyewe.

La mwisho jaribu kuwa na roho ya kiume, nafasi yako ni laini sana.
Kwa mawazo na fikra za KIJIMA ulizo onyesha wewe ni KIUMBE wa ajabu kwenye Karne hii ya 21.

Tumesha toka kwenye ""UJITUKABEJA"" wewe unaturudisha nyuma kwenye mawazo primitive ya feudal society..

Jifunze/ tujifunze kufuata taratibu kufuata protocol ukitembea na akili hizo za KIJIMA ulizo onyesha wewe utajikuta upo LUPANGO kwa makosa ya kijinga.

Uwezo wako wa akili upo Chini chini Sanaaa zaidi ya soksi zangu.

Sito jibishana na wewe Tena.

Wasalaam.
 
Back
Top Bottom