Hao OYA ni hatari balaa, kuna sehemu walikuwepo wametega IST moja nasikia watu wanasema anadakwa mtu sasa hivi...mara Mama mmoja akiwa na mwenzake kaambiwa "haya leo tunaondoka na wewe ingia kwenye gari, wewe kila siku unatupiga chenga chenga tu na kuambiwa umehama unapokaa, ingia kwenye gari" jamaa wanaongea kwa sauti hadi watu kujaa, yule mama nilimhurumia asee.
Hali inatisha wakuu