Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kati ya serikali na cdm nani mwenye access ya kuchota pesa?Kwann kafulila apewe ofa kipindi hichi ambacho hana faida wala kikwazo kwa chama tawala. Vipi nyalandu nae alipewa sh ngap kuhami cdm?
Njaa hizi tunapoziendekeza zitaharibu hata mahusiano mazuri katika familia zetu. Jee ndugu, jamaa na marafiki nao wanalichukuliaje jambo hili ingawa ni la binafsi?
Ikumbukwe kuwa hata shetani anapokushauri utende jambo baya huwa hafikirii utawaumiza wanaokuhusu kiasi gani.
atakuwa amechukizwa na tabia ya mumewe.
Nani ana njaa sasa?Njaa hizi tunapoziendekeza zitaharibu hata mahusiano mazuri katika familia zetu. Jee ndugu, jamaa na marafiki nao wanalichukuliaje jambo hili ingawa ni la binafsi?
Ikumbukwe kuwa hata shetani anapokushauri utende jambo baya huwa hafikirii utawaumiza wanaokuhusu kiasi gani.
Chadema siyo sawa na CCM hao unaowasikia wanahama walitegemea kuna ulaji .kwa hiyo huo uzushi unaosema kwamba Chadema kuna ruzuku inayotumiwa tu hovyo ni uongo wa kutupwa .Serikali ya CCM inatamani Chadema ife na siyo kuwapa ruzuku ya kununua wanachama na kuzidi kujiongezea umaarufu.Nimeongelea ccm na cdm na si serikali na cdm. Maana cdm pia wana ruzuku u know zinazoweza kuchotwa muda wowote kuwalipa watu wahamie upande wake
Kwa tabia za tumbili alivo atakuwa mkorofi sana kwenye ndoa, na ukute hata shughuli hawezi, tumbili anachoweza ni kudana kwenye miti tuMbunge wa viti maalum Chadema ambaye pia ni mke wa David Kafulila Mh Jesca Kishoa amebadilisha jina kwenye profile yake badala ya kuwa #Jesca_Kishoa_Kafulila na kuwa #Jesca_Kishoa mi sijaelewa maana yake!
![]()
Huenda ndoa ilishaharibika zamaaaaani limebaki jina tu,na huenda hata hyo kuhama inachembechembe za kuhamasisha utengano,Huyo dada akikubali pressure za siasa kuharibu ndoa atakua hajui ndoa ni nini na atachuma dhambi bure ya kuvunja sakramenti ya ndoa. Asichukulie siasa kuwa maisha kwa kiwango hicho. Naamini hili halitawayumbisha ....akajifunze kwa Mama Lowasa na hasa kama ilikuwa rahisi kwake kuungana na mzee kwenda Chadema.
Chadema siyo sawa na CCM hao unaowasikia wanahama walitegemea kuna ulaji .kwa hiyo huo uzushi unaosema kwamba Chadema kuna ruzuku inayotumiwa tu hovyo ni uongo wa kutupwa .Serikali ya CCM inatamani Chadema ife na siyo kuwapa ruzuku ya kununua wanachama na kuzidi kujiongezea umaarufu.
Chunguza tabia za watu wa kigoma utagundua kitu,siyo watu wa kuwaamini kabisa ni wa asili ya kukengeuka na kuzungukana sana,nimeishi kule najua nnachosema,Kuhama vyama vitatu..kwa kipindi kisichozidi miaka 5...,hapo ndio unatakiwa kuanza kumtafakali kafulila...kama ni kiongozi au mchekeshaji...maana tangu aliposifiwa na rais..ajaonekana kabisa...mpaka leo..tunasikia kajivua uanachama...kwel kazi