Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
ukiona CCM inahangaika na biashara ya kununua watu ujue imeshikwa pabaya. Chadema ni tishio kwa CCMKubali ukweli chadema inajiua yenyewe kutegemea kupokea wanachama wa ccm na kuwapa vyeo vikubwa wakiwatupa waliohangaikia chama kikiwa kichanga.
Cdm ruzuku wanaipata ila wanachezea kwa kesi za kubumba ili kuzidokoa vizuri kisingizio kulipa mawakili wa chama.