Nitajulikana
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 328
- 355
Hata kama mmewe kabebewa akili aseme he wala? Ujinga huoMtu anamdhalilisha mumewe unasema jembe! Ningekuwa Kafulila ningeachana nae, hakuna mwanamke timamu wa kwenda kuhorojoka mbele ya vyombo vya habari kisa mumewe kuhama.
Isitoshe hata jina la Kafulila kalifuta FB yake, kabakisha Jesca Kishoa... sasa huyu ni mwanamke.gani!
Aendelee kuliwa huko aliko ili apate viti vya mababies.
Natumaini wana janvi wote wazima wa afya,nimelazimika kuandika Uzi huu baada ya kusikiliza maelezo ya mke wa Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini Bi Jesca Kishoa Kafulila!
Nimeshindwa kuleta video yake hapa kwa sababu sina utaalamu huo lakini nawaombeni mwendeni Utube msikilize maelezo yake naamini kila mtu atafurahia km nilivyofurahia mm!!
Hata hivyo tunahitaji wanawake ka Jesca Kishoa ili nchi yetu iweze kujikomboa kifkra,kimtazamo,na kimaendeleo ya jamii kwa ujumla.Asante sana Jesca Kishoa!!!
Natumaini wana janvi wote wazima wa afya,nimelazimika kuandika Uzi huu baada ya kusikiliza maelezo ya mke wa Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini Bi Jesca Kishoa Kafulila!
Nimeshindwa kuleta video yake hapa kwa sababu sina utaalamu huo lakini nawaombeni mwendeni Utube msikilize maelezo yake naamini kila mtu atafurahia km nilivyofurahia mm!!
Hata hivyo tunahitaji wanawake ka Jesca Kishoa ili nchi yetu iweze kujikomboa kifkra,kimtazamo,na kimaendeleo ya jamii kwa ujumla.Asante sana Jesca Kishoa!!!
Umeoa ?Natumaini wana janvi wote wazima wa afya,nimelazimika kuandika Uzi huu baada ya kusikiliza maelezo ya mke wa Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini Bi Jesca Kishoa Kafulila!
Nimeshindwa kuleta video yake hapa kwa sababu sina utaalamu huo lakini nawaombeni mwendeni Utube msikilize maelezo yake naamini kila mtu atafurahia km nilivyofurahia mm!!
Hata hivyo tunahitaji wanawake ka Jesca Kishoa ili nchi yetu iweze kujikomboa kifkra,kimtazamo,na kimaendeleo ya jamii kwa ujumla.Asante sana Jesca Kishoa!!!
Usishangae anytime na yeye kubwaga manyangaWanasiasa sio wa kuwaamini
Wengi wanaoshabikia huyu mama aidha ni wavulana au hawajaoa. Mke au Mume lazima umsitiri! Siri za ndani lazima uzitunze! Unakumbuka rose kamili alijibu nini baada ya Dr Slaa kuondoka CDM! Pamoja na kuachana bado wanaheahimiana. Ni aibu na inaonyesha hajitambui kindoaMtu anamdhalilisha mumewe unasema jembe! Ningekuwa Kafulila ningeachana nae, hakuna mwanamke timamu wa kwenda kuhorojoka mbele ya vyombo vya habari kisa mumewe kuhama.
Isitoshe hata jina la Kafulila kalifuta FB yake, kabakisha Jesca Kishoa... sasa huyu ni mwanamke.gani!
Aendelee kuliwa huko aliko ili apate viti vya mababies.
Kwa hiyo na wewe ukaamua kumuamini mke wa Kafulila kwa alivhokisema?Nimempenda huyu dada kwa kujitambua kiasi hiki. Kama mume ni tumbili basi ni tumbili tu kamwe hastahili kuheshimiwa na mkewe. Unafanyaje maamuzi ya kuhama chama bila kumtaarifu ubavu wako na kumuacha naye asikie kwenye vyombo vya habari kama Watanzania wengine. Tumbili hamkutendea haki mkewe na hili limeingiza dosari kubwa sana kwenye ndoa yao na sitashangaa kama miezi sita ijayo hii ndoa itakuwa imevunjika.
Naona anasoma waraka alioandikiwa.Wengi wanaoshabikia huyu mama aidha ni wavulana au hawajaoa. Mke au Mume lazima umsitiri! Siri za ndani lazima uzitunze! Unakumbuka rose kamili alijibu nini baada ya Dr Slaa kuondoka CDM! Pamoja na kuachana bado wanaheahimiana. Ni aibu na inaonyesha hajitambui kindoa
Hizo dalili za mwanamke anayechapwa njeNaona anasoma waraka alioandikiwa.
Kumbe anayoyaongea hayatoki moyoni.
Inawezekana ukawa mkweli, mke anayetunza utakatifu wa ndoa hawezi kuwa vile, kwa upande mwingine ni m binafsi na woga wa kuvuliwa ubunge viti maalum.Hizo dalili za mwanamke anayechapwa nje
Alichofanya tumbili ni kumhalibia mke wake sijui ni wivu au nini.
Nakubaliana na wewe! Hakuna mawasiliano both sides ila Kati Yao kuna michepukoNi kutojitambua tu na kukurupuka na kutomheshimu mkewe pia. Unafanyaje maamuzi kama hayo bila kumtaarifu mtu wako wa karibu? Labda hii ndoa iko juu ya mawe siku nyingi na hili lilikuwa halijukani hadharani sasa limejichomoza wazi hadharani.
Nakubaliana na wewe! Hakuna mawasiliano both sides ila Kati Yao kuna michepuko
Ndugu yangu mambo ya ndoa waachie wenyewe! Kwa kawaida huwa nyingi zinarudi baada ya mahusiano mbadala ya mwanamke kuwa shubiri. Ukiona mwanamke anapandisha sijui kwa mumewe jua kuna mwanaume mwingine yupo nyuma yake! Nazungumza hili kwa kujiamini maana yashanitokeaNa kitendo cha mkewe kuondoa jina lake la mwisho kwenye FB page yake jana la Kafululila ni ushahidi tosha kwamba ndoa hii imeyumba siku nyingi tu. Sasa sijui kama hii dhoruba inaweza kuimaliza kabisa ama wataweza kuinusuru ndoa yao.