Yawezakana haujawahi kuwa katika siasa. Siasa inawezwa kufananishwa hata na imani ya dini. Jesca alikuwa anaongea na waandishi WA habari kuhusu siasa na mustakabali wa nchi. He,ulitaka aongee kuhusu anavyompenda au kumjali Kafulila aache kuzungumzia nchi kwa ujumla. Hatuoi wake zetu ili watufichie ujinga au kututkuza kama wanaume.Nimekuwa mwanafizikia. Ongeza na ujinga wake. Mke aliyefundwa hawezi kutoa Siri za familia hadharani unakumbuka Clinton na mkewe. Siku ingine atatoa Siri za kibamia Cha mumewe wewe subiri
Sikiliza mahojiano bila jazba utaelewa. Kwa mtu kufanya jambo kama kafulila bila kumshiriki mwenza wake ni vote of no confidence ya hali ya juu! Huyu mama kalipiza kisasi tu. Kosa halihalalishi kosa ndugu yangu! Kwa taarifa yako nina uzoefu na siasa lakini alivyofanya si sahihiYawezakana haujawahi kuwa katika siasa. Siasa inawezwa kufananishwa hata na imani ya dini. Jesca alikuwa anaongea na waandishi WA habari kuhusu siasa na mustakabali wa nchi. He,ulitaka aongee kuhusu anavyompenda au kumjali Kafulila aache kuzungumzia nchi kwa ujumla. Hatuoi wake zetu ili watufichie ujinga au kututkuza kama wanaume.
Funguka mtu wa Mungu. Toka ndani ya kasha! Kama mtu alidiriki (hali halisi inavyoonesha) kuhama chama bila mkewe kutaarifiwa ulitaka ampetipeti mabegani na kumbusu mtu ambaye hamjali? (kupenda). Hii one sided love mnayoing'ang'aniza ni utumwa. Muiache. Jesca ni grown up lady? Hayo mnayoyakazania hayajui? Na kumbuka, yeye ndiye mke wa Kafulila. Kutaka kumuwekea mtu mzima maneno ya kusema mdomoni is quite wrooooooong! Je, tunamjua Kafulila kuliko Jesca?
Kumbe eenh!Basi, siasa haina urafiki/mpendwa wa kudumu. And the very vice versa is quite true!!Sikiliza mahojiano bila jazba utaelewa. Kwa mtu kufanya jambo kama kafulila bila kumshiriki mwenza wake ni vote of no confidence ya hali ya juu! Huyu mama kalipiza kisasi tu. Kosa halihalalishi kosa ndugu yangu! Kwa taarifa yako nina uzoefu na siasa lakini alivyofanya si sahihi
Wife material atakutetea hadharani ila atakunanga chumbani! Katika ndoa ya ukweli kosa la mmoja ni lenu wote. Waulize wife materials wa JF kama Sakayo Sky Eclat miss chagga PrincessAnne espy Numbisa Heaven Sent Nifah Clkey LadyAJ etc wakueleze ukweli
Kamuoe wewe basi.Natumaini wana janvi wote wazima wa afya,nimelazimika kuandika Uzi huu baada ya kusikiliza maelezo ya mke wa Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini Bi Jesca Kishoa Kafulila!
Nimeshindwa kuleta video yake hapa kwa sababu sina utaalamu huo lakini nawaombeni mwendeni Utube msikilize maelezo yake naamini kila mtu atafurahia km nilivyofurahia mm!!
Hata hivyo tunahitaji wanawake ka Jesca Kishoa ili nchi yetu iweze kujikomboa kifkra,kimtazamo,na kimaendeleo ya jamii kwa ujumla.Asante sana Jesca Kishoa!!!
Vipi wameachana?au amemuacha mumewe!Natumaini wana janvi wote wazima wa afya,nimelazimika kuandika Uzi huu baada ya kusikiliza maelezo ya mke wa Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini Bi Jesca Kishoa Kafulila!
Nimeshindwa kuleta video yake hapa kwa sababu sina utaalamu huo lakini nawaombeni mwendeni Utube msikilize maelezo yake naamini kila mtu atafurahia km nilivyofurahia mm!!
Hata hivyo tunahitaji wanawake ka Jesca Kishoa ili nchi yetu iweze kujikomboa kifkra,kimtazamo,na kimaendeleo ya jamii kwa ujumla.Asante sana Jesca Kishoa!!!
Acha kutafuta Huruma za watu. Kwa hiyo kafulila angejiunga hata na dini ya waabudu shetani ulitaka mke wake amfuate tu ?Wife material atakutetea hadharani ila atakunanga chumbani! Katika ndoa ya ukweli kosa la mmoja ni lenu wote. Waulize wife materials wa JF kama Sakayo Sky Eclat miss chagga PrincessAnne espy Numbisa Heaven Sent Nifah Clkey LadyAJ etc wakueleze ukweli
Sijasema amfuate mume wake ila asizungumze masuala ya mume wake hadharani. Kama ni kusutana au kukanyana ni ndani ya chumba si nje ya chumba cha kulala. Hata watoto hawatakiwi kujua differences za wazazi sembuse wewe na mimi. Sitafuti huruma za watu ila nakupa mifano nao wakuelekeze maana mwenzangu inaonyeshe ni kinda katika masuala hayaAcha kutafuta Huruma za watu. Kwa hiyo kafulila angejiunga hata na dini ya waabudu shetani ulitaka mke wake amfuate tu ?
Safi sana,naamin kila atakayesoma comment yako ataelewa vizuri sana!!Yawezakana haujawahi kuwa katika siasa. Siasa inawezwa kufananishwa hata na imani ya dini. Jesca alikuwa anaongea na waandishi WA habari kuhusu siasa na mustakabali wa nchi. He,ulitaka aongee kuhusu anavyompenda au kumjali Kafulila aache kuzungumzia nchi kwa ujumla. Hatuoi wake zetu ili watufichie ujinga au kututkuza kama wanaume.
Funguka mtu wa Mungu. Toka ndani ya kasha! Kama mtu alidiriki (hali halisi inavyoonesha) kuhama chama bila mkewe kutaarifiwa ulitaka ampetipeti mabegani na kumbusu mtu ambaye hamjali? (kupenda). Hii one sided love mnayoing'ang'aniza ni utumwa. Muiache. Jesca ni grown up lady? Hayo mnayoyakazania hayajui? Na kumbuka, yeye ndiye mke wa Kafulila. Kutaka kumuwekea mtu mzima maneno ya kusema mdomoni is quite wrooooooong! Je, tunamjua Kafulila kuliko Jesca?
Sasa kwenye hiyo post umeona wapi,swala la ndoa,au ndio kuwashwa kwenyewe!!!Kashakudanganya na video ya kutengeneza akitoka hapo anaenda kumtandikia kitanda kafulila na kumvulia chupp..kuna njia nyingi za kutafuta maisha na kiki acha ubwwgge wewe!..hao ni mume na mke wanalala kitanda kimoja!! Wanayoongea kitandani ni tofauti na hayo ya kwenye TV
Sijasema amfuate mume wake ila asizungumze masuala ya mume wake hadharani. Kama ni kusutana au kukanyana ni ndani ya chumba si nje ya chumba cha kulala. Hata watoto hawatakiwi kujua differences za wazazi sembuse wewe na mimi. Sitafuti huruma za watu ila nakupa mifano nao wakuelekeze maana mwenzangu inaonyeshe ni kinda katika masuala haya
Sasa kwenye hiyo post umeona wapi,swala la ndoa,au ndio kuwashwa kwenyewe!!!