kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,313
- 7,714
Akihamia tu CCM najua utamponda wewe,unakumbuka Lawrence Kego Masha alipokuwa anapigania raisi wa TLS?ulimsifu sana hata kama hukuandika humu,ningeweza kuwaona jirani zako huko Arusha au Mbeya na hata kilimanjaro au huko ulipo musoma wangesema ni kweli.Watu kama nyie mna mawazo mgando,hamuangalii nje ya box,uko radhi ufiche matatizo kwa sababu yapo nyumbani kwako.Mwenye kiti wa ccm kila miaka kumi nadhani anabadilika na hata juzi uzi wa kuongeza muda wa raisi Magufuli ulipinga lakini mwenyekiti wenu hataki mabadiliko anataka kuwa yeye tu mwenyekiti.