Mke wa Kafulila ni Jembe Sana

Mke wa Kafulila ni Jembe Sana

Huu ni mwendelezo wa siasa siasani.....
 
Wengi wanaoshabikia huyu mama aidha ni wavulana au hawajaoa. Mke au Mume lazima umsitiri! Siri za ndani lazima uzitunze! Unakumbuka rose kamili alijibu nini baada ya Dr Slaa kuondoka CDM! Pamoja na kuachana bado wanaheahimiana. Ni aibu na inaonyesha hajitambui kindoa

Usikariri maisha kama "Archimedes principle"!Kila mtu na mawazo yake yanavyomtuma.
 
Mtu anamdhalilisha mumewe unasema jembe! Ningekuwa Kafulila ningeachana nae, hakuna mwanamke timamu wa kwenda kuhorojoka mbele ya vyombo vya habari kisa mumewe kuhama.

Isitoshe hata jina la Kafulila kalifuta FB yake, kabakisha Jesca Kishoa... sasa huyu ni mwanamke.gani!

Aendelee kuliwa huko aliko ili apate viti vya mababies.
Mku Mwanaume amejidhalilisha mwenyewe hivi mtu ndani mwaka mmoja ameshabadilisha vitatu huyu ukitaka kumwita jina baya hukosi la jina la kumwita. Mwanaume asiye na misimamo ni bure kabisa hata kuisaliti familia sio kazi ngumu kwa mtu kama huyu
 
Kweli huyu dada ni mpumbafu, kunyamaza nalo pia ni jibu.
 
Nakubaliana na wewe! Hakuna mawasiliano both sides ila Kati Yao kuna michepuko
Ndoa yao ilifungwa kwa padre, sio kwa mwenyekiti wa chama.
David alikuwa cdm akafukuzwa akaenda nccr akarudi CDM na sasa amehama.
Mke hayawani. Ndoa ni bora kuliko siasa. Regina alimvumilia Lws. Mke wa DJ kavumilia pamoja na mume kuzaa nje.
 
Huwezi kuwa baba wa nyumbani,halafu wife ndo atoke kutafuta hela,
lazima ndoa itayumba tu,
kafulila hakuwa na jinsi ila kurudi ccm labda watamkumbuka hata ukuu wa wilaya,

na wakimsahau anaweza hata kujinyonga huyu mtu
Maisha kusaidiana. Ukiona hivyo basi she is not a wife material.
 
Ajafundwa. Kama Malaya wa mjini. Uwezi kumjibu mmeo hivyo hatharani. Kuna wake wengi tu. Ni CCM na waume wao ni CHADEMA na awajinasibu hadharani hivyo.
 
Mku Mwanaume amejidhalilisha mwenyewe hivi mtu ndani mwaka mmoja ameshabadilisha vitatu huyu ukitaka kumwita jina baya hukosi la jina la kumwita. Mwanaume asiye na misimamo ni bure kabisa hata kuisaliti familia sio kazi ngumu kwa mtu kama huyu

Kwaio baba Lowasa nae ni 'bure kabisa'?, mke kumkashifu mmewe kwamba msimamo kuna mengi nyuma. Huwenda labda kuna anayemuona ana msimamo. Labda anamchepuko pahali fulani.

Kafulila akimaliza haya ya siasa aitafakari ndoa yake.

Sidhani kama wazazi wa mkewe wanajisikia vyema kwa kitendo cha binti yao.
 
Ndoa yao ilifungwa kwa padre, sio kwa mwenyekiti wa chama.
David alikuwa cdm akafukuzwa akaenda nccr akarudi CDM na sasa amehama.
Mke hayawani. Ndoa ni bora kuliko siasa. Regina alimvumilia Lws. Mke wa DJ kavumilia pamoja na mume kuzaa nje.
Namfahamu mke wa mwenyekiti wakati akisoma weruweru alikuwa wife material tangu akiwa binti mdogo ingawa alikuwa mtoto wa waziri. Ndo maana jamaa anang’ara katika chama sababu ya mkewe kumkubali na mapungufu yetu yote! Huyu wa kafulila ni shaize kwa kijerumani
 
Usikariri maisha kama "Archimedes principle"!Kila mtu na mawazo yake yanavyomtuma.
Nimekuwa mwanafizikia. Ongeza na ujinga wake. Mke aliyefundwa hawezi kutoa Siri za familia hadharani unakumbuka Clinton na mkewe. Siku ingine atatoa Siri za kibamia Cha mumewe wewe subiri
 
Mtu anamdhalilisha mumewe unasema jembe! Ningekuwa Kafulila ningeachana nae, hakuna mwanamke timamu wa kwenda kuhorojoka mbele ya vyombo vya habari kisa mumewe kuhama.

Isitoshe hata jina la Kafulila kalifuta FB yake, kabakisha Jesca Kishoa... sasa huyu ni mwanamke.gani!

Aendelee kuliwa huko aliko ili apate viti vya mababies.
Kafulila kaondokaje?Ameondoka kwa kuwadhihaki Chadema akisahau kabisa kuwa mkewe ni mmoja wa viongozi wa Chadema.Mazingira ya Kafulila kuondoka yalitaka pia kujenga taswira yenye kumtilia mashaka mkewe pia,na huenda hata kuhama kwa Kafulila hakumshirikisha mkewe!Kwa hiyo namuona Jesca kama mwanamke shujaa aliyethubutu kumwabia mwanaume wake ukweli unaomstahili kwa kuwa maamuzi yake yanahujumu jitihada kubwa zinazofanywa na wanachadema katika kujijenga kisiasa.
Unadhani siku Jesca akitupiwa vijembe bungeni Kafulila atakuwepo kumtetea?
 
Mtu anamdhalilisha mumewe unasema jembe! Ningekuwa Kafulila ningeachana nae, hakuna mwanamke timamu wa kwenda kuhorojoka mbele ya vyombo vya habari kisa mumewe kuhama.

Isitoshe hata jina la Kafulila kalifuta FB yake, kabakisha Jesca Kishoa... sasa huyu ni mwanamke.gani!

Aendelee kuliwa huko aliko ili apate viti vya mababies.
Akili zako ni fupi sana kwa nini unafikiria mambo ya kipumbavu tu?Wewe unafikiri na huko nako watu wanaweza kulipa tu?Unafikiri na wao wakimtamani mtu akiwakataa kwa kuwa kaolewa au anajiheshimu anatengenezewa mazingira ya kujulikana hafai iliaondolewe hadharani? Siyo wote wako hivyo kaeni na upuuzi wenu hukohuko
 
Kilichomuuzi kishoa ni yeye kumlisha tumbili tokea akose ubunge alafu leo hii anaenda kuhama chama bila kumtaarifu
 
Back
Top Bottom