kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,965
- Thread starter
- #21
Hapana sijafikia huo umri, nimeomba accountMiaka 32 bado unaishi kwa Kaka ako mbona we ni waajabu mwishowe utaolewa bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sijafikia huo umri, nimeomba accountMiaka 32 bado unaishi kwa Kaka ako mbona we ni waajabu mwishowe utaolewa bure.
Hahahaha oa wako akufulie...unadhani upo kwenu Chatobaada ya kumaliza mtihani wa form 4 nikaomba nikapumzike kwa kaka town. sasa nimeshangaa wakati wa kufua nguo zangu siombwi kwa ajili ya kufua, huu ni utaratibu wa wapi? huyu shem hajui kua sisi ni brothers? nawaza nimulize ila naogopa fulani hivi. naomba ushauri wakuu
Hapana sijui hayo mamboHuyo wee mtongoze tuu hamna jinsi
Hii kazi iko Chai.hii kazi iko wapi? mbona kama siwezi?
bado mkuu, umri wangu haujafikia hukoHahahaha oa wako akufulie...unadhani upo kwenu Chato
Hapana Leo mkate wa siles na chai ya maziwa japo sijashibaMadhara ya kula Chai na bamia asubuhi ndo haya
Kama huvuti bangi sijuibaada ya kumaliza mtihani wa form 4 nikaomba nikapumzike kwa kaka town. sasa nimeshangaa wakati wa kufua nguo zangu siombwi kwa ajili ya kufua, huu ni utaratibu wa wapi? huyu shem hajui kua sisi ni brothers? nawaza nimulize ila naogopa fulani hivi. naomba ushauri wakuu
Mke wa kaka yako ni mkeo pia?baada ya kumaliza mtihani wa form 4 nikaomba nikapumzike kwa kaka town. sasa nimeshangaa wakati wa kufua nguo zangu siombwi kwa ajili ya kufua, huu ni utaratibu wa wapi? huyu shem hajui kua sisi ni brothers? nawaza nimulize ila naogopa fulani hivi. naomba ushauri wakuu
Utakuta mleta mada ni UCD ana gallow birdFORM 4 NA UMEJIUNGA JF MWAKA 2016 MADAKO YAKO ACHA KUTAFUTA ATTENTION
hata sigara situmii wala pombe kwani Kuna ubaya?Kama huvuti bangi sijui
ni mke wa kaka, kwani akinifulia nguo mbili kuna ubaya?Mke wa kaka yako ni mkeo pia?
Nyie ni kabila gani lisilo na adabu kwa kiwango cha lami namna hiyo?
Akufulie kawa mkeo huyo?
soma vizuri nimeazima simu nikaomba accountUtakuta mleta mada ni UCD ana gallow bird
tiGo anakupa?baada ya kumaliza mtihani wa form 4 nikaomba nikapumzike kwa kaka town. sasa nimeshangaa wakati wa kufua nguo zangu siombwi kwa ajili ya kufua, huu ni utaratibu wa wapi? huyu shem hajui kua sisi ni brothers? nawaza nimulize ila naogopa fulani hivi. naomba ushauri wakuu
Je wewe kumfulia yeye kuna tatizo gani?ni mke wa kaka, kwani akinifulia nguo mbili kuna ubaya?
tigo ndo nini? au ni hu mtandao mpya wa yas? kivip anitiGo anakupa?