Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana,yule nanilihu wa JF anaekudai talaka kwa nguvu zote ndiye anatakiwa kuiga hii!![emoji4][emoji4][emoji4]Zari muige huyo
What goes around comes aroundWale wale tu,huyu mke wa sasa wa Kevin alikuwa mchepuko.Mke mkubwa alivyogundua akafile for divorce.Mchepuko kaolewa nae kachitiwa tena.Ndo maana kasamehe tu.
Ndo maana yake,hana jinsi inabidi asamehe tu.Maana hata yeye alianza kwa kucheat na huyo Kevin.Sema mke wa Kevin hakuwa na msalia mtume ikabidi aombe talaka yake.What goes around comes around
Ila utacheat kwa shida kidogo si kama awaliMimi kama mwanaume nkiamua kucheat nacheat tu# ntakupa access zote ila jua ntafungua email mpy na fake id..ntamtafuta tu mchepuko# ninamarafiki naweza tumia simu zao# apo kafanya mambo kipumbavu mwanaume au mwanamke achungwi
Ni kweli mi naon suluhisho n kukaa mkayajengaIla utacheat kwa shida kidogo si kama awali
Japo nakubali si njia sahihi sana
Wale wale tu,huyu mke wa sasa wa Kevin alikuwa mchepuko.Mke mkubwa alivyogundua akafile for divorce.Mchepuko kaolewa nae kachitiwa tena.Ndo maana kasamehe tu.
KumbeWale wale tu,huyu mke wa sasa wa Kevin alikuwa mchepuko.Mke mkubwa alivyogundua akafile for divorce.Mchepuko kaolewa nae kachitiwa tena.Ndo maana kasamehe tu.
Mwizi akiibiwa huumia sanaWale wale tu,huyu mke wa sasa wa Kevin alikuwa mchepuko.Mke mkubwa alivyogundua akafile for divorce.Mchepuko kaolewa nae kachitiwa tena.Ndo maana kasamehe tu.
Kumzuia shetani kupita sio kazi ndogo
Na ajiandae kujibu matumizi ya kila senti atakayotumia
Kevin Hart, ni American actor, alikutwa na skendo ya kumpa mimba binti mwingine wakati mke wake akiwa ni mjamzito.
Mke wake amejua, na jamaa akaomba msamaha kwa familia yake pamoja na fans wake. Mke kamsamehe jamaa kwamba kweli shetani alimpitia, ila AMETAKA PASSWORD ZAKE ZOTE NA AWE FREE NA SIMU ZA JAMAA WAKATI WOWOTE ANAPOTAKA, ili kuepusha shetani kupita tena.
Yan kitu chochote chenye namba ya siri au password ya aina yoyote, wife ametaka azijue, kuanzia akaunti, social networks, email etc, n simu awe nayo free kuikagua muda wowote anaotaka..!!
Hii ni zaidi ya FBI aisee.
Basi kuna hatarWale wale tu,huyu mke wa sasa wa Kevin alikuwa mchepuko.Mke mkubwa alivyogundua akafile for divorce.Mchepuko kaolewa nae kachitiwa tena.Ndo maana kasamehe tu.
Mie zaidi ya kukemea sina nyingine.... hizi mbinu nyingine lazima uwe mbabeHahahahahahaha lol! Best weye mbinu zipi hutumia kupambana na shetani?