OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mke wa "Kiboko ya Wachawi" amwangukia Rais Samia amrudishie mume wake aidha
"Ninachokiomba mama unirudidhie mume wangu mimi ni mama wa Watoto wawili, Watoto wangu bado wadogo, wanaitaji malezi ya baba yao pia namuhitaji mumeo wangu kwa sababu yeye ndiyo msaada wangu sina kimbilio sina msaada wangu mwingie isipo kuwa kwako mama."
"Naomba unisaidie kwenye hili mama yangu ni najuwa unauwezo, unanguvu na mamlaka ya kufanya chochote kwenye hili, nimekuja kwako mama".
Pia, soma:
"Ninachokiomba mama unirudidhie mume wangu mimi ni mama wa Watoto wawili, Watoto wangu bado wadogo, wanaitaji malezi ya baba yao pia namuhitaji mumeo wangu kwa sababu yeye ndiyo msaada wangu sina kimbilio sina msaada wangu mwingie isipo kuwa kwako mama."
"Naomba unisaidie kwenye hili mama yangu ni najuwa unauwezo, unanguvu na mamlaka ya kufanya chochote kwenye hili, nimekuja kwako mama".
Pia, soma: