Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Kumbeee...Hii ni ya mda . It's about a month now.
Ilikuwa kabla mwandishi wa mwananchi hajamwaga ugali wa Kiboko ya Wachawi.
Ulisukwa mpango kabambe kumrudisha nchini. Mamilioni mengi yalitolewa kwa wenye ushawishi ili jamaa arudi. Baada ya kuharibika mpango hata watetezi wakatulia.
Huyo si mke wake mdada tu alipangwa
Ndo maana iliposhindikana ameanza kutukana hovyo