Kumbeee...Hii ni ya mda . It's about a month now.
Ilikuwa kabla mwandishi wa mwananchi hajamwaga ugali wa Kiboko ya Wachawi.
Ulisukwa mpango kabambe kumrudisha nchini. Mamilioni mengi yalitolewa kwa wenye ushawishi ili jamaa arudi. Baada ya kuharibika mpango hata watetezi wakatulia.
Huyo si mke wake mdada tu alipangwa
Cz Nakumbuka Yule mhalifu wa SA alikamatwa Arusha akakabidgiwa kwa serikali ya SA.Ndo hapo sasa...
Mwamposa Hana mke kumbe nae🤣🤣🤣Wengi wa waabudu mashetani na manabii fake hawana wake bali vimada tupu.
Mke wa "Kiboko ya Wachawi" amwangukia Rais Samia amrudishie mume wake
View attachment 3085827
Pia, soma:
Mfate huko huko, ila wanawake, mnaolewaga na matapeli mnaenda tu, mpaka mnazaa. Sasa atakutoa kafara wewe kwa anili ya kanisa
Uzuzu jua upo sanaRais akimpa kibali cha kuludi situtakua kwisha habari yetu wananchi 🤣🤣
Umpe UpakoNaomba namba huyo mjane
Nione jinsi ya kumfariji katika haya magumu anayopitia
Kuna mtumishi nikifanya mawasiliano nae kasema ili nihudumiwe kumuona tu pasipo maongezi 500000 nikajiuliza huduma itakua ngap🤣🤣Uzuzu jua upo sana
Kwa hiyo atarudi kuja kuendelea
Wapiga mazuzu
Ova
Na wote waliyobakia ni matapeliKuna mtumishi nikifanya mawasiliano nae kasema ili nihudumiwe kumuona tu pasipo maongezi 500000 nikajiuliza huduma itakua ngap🤣🤣
Wengine tuma 100,000 nwafanyie maombi usiku 😄Kuna mtumishi nikifanya mawasiliano nae kasema ili nihudumiwe kumuona tu pasipo maongezi 500000 nikajiuliza huduma itakua ngap🤣🤣
Hawajaguswa pabaya wakiguswa wenyewe mbona kumkamata ni chapu na kwa haraka?Cz Nakumbuka Yule mhalifu wa SA alikamatwa Arusha akakabidgiwa kwa serikali ya SA.
Unless otherwise wakongo wataendelea kutuchezea sanaa.
Yeah haiwahusu,ila jamaa anatuita wendawazimuuu😂😂Hawajaguswa pabaya wakiguswa wenyewe mbona kumkamata ni chapu na kwa haraka?
Sio shida zetu😄Yeah haiwahusu,ila jamaa anatuita wendawazimuuu😂😂