Mke wa Manara aliiba Dora elfu 17,000 na kukimbilia Dubai

Mke wa Manara aliiba Dora elfu 17,000 na kukimbilia Dubai

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Aliyekuwa mke wa Manara inadaiwa alimuibia semaji la wananchi dola za kimarekani elfu kumi na saba karibu million arobaini hivi za kitanzania na kumpa bwana wake wa Kinigeria.

Inadaiwa huo ulikuwa mpango wake wa muda tangu kuanza kuzungusha na Manara wakiwa Dubai huyo mrembo wa Shytown akazibeba na kufanya mchango na muhausa.

Inadaiwa kwa sasa yupo Dubai huku Manara akihaha polisi wamsake kwa kutumia polisi wa kimataifa interpol ili wamrudishe bongo.

USSR
 
Manara akubali safari hii kapata kiboko yake. Hata aliyenaye akijifungua tu atamvumilia kwa miezi kadhaa na kuanza kudai talaka. Jamaa ana mke ndani ila kutwa macho kodo nje
 
Angetoa talaka zote 3 kwa nini amempa moja mkubali mkatae ndugu yenu amepatikana safari hii mkiachwa muachike
Hakunaga talaka 3 at per katika uislamu. Ukiacha mara ya kwanza ni talaka moja, mkirudiana na mume kuacha kwa mara ya pili talaka ya pili na mkirudiana na kuachana tena kwa mara ya tatu hapo ndo talaka 3 zimetimia ambapo baada ya hapo kumrudia mke kidogo shughuli.

So kama hii ni mara ya kwanza kuachana definitely hiyo ni talaka ya kwanza. By the way, hivi dunia ya leo, mwanaume ung'ang'anie mwanamke kweli? Maana naona duniani kote now wako wengi wa kila rangi na kila sampuli,😆. Wakikuzingua wamatumbi unashuka zako Latinos tu hapo au unavuka kwa Kagame unakuja na mbegu mpya😆😆.
 
Aliyekuwa mke wa manara inadaiwa alimuibia semaji la wananchi dola za kimarekani elfu kumi na saba karibu million arobaini hivi za kitanzania na kumpa bwana wake wa Kinigeria.

Inadaiwa huo ulikuwa mpango wake wa muda tangu kuanza kuzungusha na manara wakiwa Dubai huyo mrembo wa shytown akazibeba na kufanya mchango na muhausa.

Inadaiwa kwa sasa hupo Dubai huku manara akihaha polisi wamsake kwa kutumia polisi wa kimataifa interpol ili wamrudishe bongo.

USSR
Akome huyo
 
Back
Top Bottom