Kwa udhaifu mkubwa alionao Manara kwa mujibu wa Wanawake Wengine aliowahi kuwa nao tena hata kabla hajawa Maarufu ni Mwanamke Mpumbavu na Mwendawazimu pekee ndiyo ataweza Kudumu nae Kimahusiano.
Kuhusu Yeye Kuibiwa hizo Fedha nitakuwa wa mwisho Kuamini kutokana na kwamba Manara anapenda kuishi Maisha siyo yake ( siyo ya Kiuhalisia ) ili tu kubaki Juu Kiumaarufu ila ukweli ni kwamba kwa 99% anaishi kwa Kusaidiwa na Watu ( Marafiki Matajiri ) kutoka Uarabuni hasa kwa Kaka yake Mfadhili wa Timu Moja Kubwa nchini aishiye Dubai kwa Sasa ( japo Wadogo zake Wawili wanaishi Dar es Salaam Tanzania ) kwa Malipo ya Shughuli Maalum ambayo naomba nisiitaje kwa sasa Kimaadili