Mke wa Manara aliiba Dora elfu 17,000 na kukimbilia Dubai

Mke wa Manara aliiba Dora elfu 17,000 na kukimbilia Dubai

Ni ngumu kuamini hayo!

Haji usitafute kujitia jaka moyo bure!

Kila likuepukalo lina Kheri nawe sometimes!
 
Angetoa talaka zote 3 kwa nini amempa moja mkubali mkatae ndugu yenu amepatikana safari hii mkiachwa muachike
Hakuna utaratibu wa kutoa talaka 3 kwa wakati mmoja
 
Hela ya kawaida sana hiyo, acha dharau.

Kwa manara na hata kwako unaeshinda jamii forums huwezi kuwa na usd 17000 ndani zimekaa tu. Waswahili hawana ujanja wa kutunza hela.

Hayo mambo kuna watu wengi tu wanayaweza. Ila sio Manara

Usd 17000 Hapo unaongelea milioni 40 cash. Mswahili anaanzia wapi kuwa na milioni 40 imekaa tu ndani
 
Hakunaga talaka 3 at per katika uislamu. Ukiacha mara ya kwanza ni talaka moja, mkirudiana na mume kuacha kwa mara ya pili talaka ya pili na mkirudiana na kuachana tena kwa mara ya tatu hapo ndo talaka 3 zimetimia ambapo baada ya hapo kumrudia mke kidogo shughuli.

So kama hii ni mara ya kwanza kuachana definitely hiyo ni talaka ya kwanza. By the way, hivi dunia ya leo, mwanaume ung'ang'anie mwanamke kweli? Maana naona duniani kote now wako wengi wa kila rangi na kila sampuli,[emoji38]. Wakikuzingua wamatumbi unashuka zako Latinos tu hapo au unavuka kwa Kagame unakuja na mbegu mpya[emoji38][emoji38].
Nakusahihisha zipo talaka tatu ila sio mpk mrudiane, Kila mwezi watoa Moja Tena sio mpk maandishi ht matamshi tu zinatimia 3 ndugu
 
Mwaka huu mambo yaliyotia aibu ukiondoa uchaguzi wa ndan wa ccm anafuatia manara kaonesha udhaifu wa viwango vya lami
 
Nakusahihisha zipo talaka tatu ila sio mpk mrudiane, Kila mwezi watoa Moja Tena sio mpk maandishi ht matamshi tu zinatimia 3 ndugu
Elimu haina mwisho lakini hilo usemalo sina elimu nalo na sioni kwanini kila mwezi utoe talaka. Ukishatoa talaka moja, kimsingi hiyo ndoa imevunjika na yawezekana msirudiane tena maisha yote. Kurudiana si lazima hata kama talaka iliyotoka ni moja. Sasa why mume aandike talaka kila mwezi ili kuzifanya ziwe tatu??

Kuwekwa talaka 1 hadi 3 miongoni mwa sababu ni kurahisisha kurudiana na kuweka ugumu wa kutalikiana lakini haina maana kwamba ili lengo la talaka litimie lazma ziwe tatu, la hasha. Yes, nakubaliana na ww talaka sio karatasi kwani hata maneno tu yanatosha au talaka ya kining'inia (Ukifanya hivi nitakuacha).

Ndiyo maana talaka haina utani na mwanaume anapaswa kujizuia na neno "talaka" kulitamka hovyo.
 
Aliyekuwa mke wa Manara inadaiwa alimuibia semaji la wananchi dola za kimarekani elfu kumi na saba karibu million arobaini hivi za kitanzania na kumpa bwana wake wa Kinigeria.

Inadaiwa huo ulikuwa mpango wake wa muda tangu kuanza kuzungusha na Manara wakiwa Dubai huyo mrembo wa Shytown akazibeba na kufanya mchango na muhausa.

Inadaiwa kwa sasa yupo Dubai huku Manara akihaha polisi wamsake kwa kutumia polisi wa kimataifa interpol ili wamrudishe bongo.

USSR
Kwa udhaifu mkubwa alionao Manara kwa mujibu wa Wanawake Wengine aliowahi kuwa nao tena hata kabla hajawa Maarufu ni Mwanamke Mpumbavu na Mwendawazimu pekee ndiyo ataweza Kudumu nae Kimahusiano.

Kuhusu Yeye Kuibiwa hizo Fedha nitakuwa wa mwisho Kuamini kutokana na kwamba Manara anapenda kuishi Maisha siyo yake ( siyo ya Kiuhalisia ) ili tu kubaki Juu Kiumaarufu ila ukweli ni kwamba kwa 99% anaishi kwa Kusaidiwa na Watu ( Marafiki Matajiri ) kutoka Uarabuni hasa kwa Kaka yake Mfadhili wa Timu Moja Kubwa nchini aishiye Dubai kwa Sasa ( japo Wadogo zake Wawili wanaishi Dar es Salaam Tanzania ) kwa Malipo ya Shughuli Maalum ambayo naomba nisiitaje kwa sasa Kimaadili
 
Elimu haina mwisho lakini hilo usemalo sina elimu nalo na sioni kwanini kila mwezi utoe talaka. Ukishatoa talaka moja, kimsingi hiyo ndoa imevunjika na yawezekana msirudiane tena maisha yote. Kurudiana si lazima hata kama talaka iliyotoka ni moja. Sasa why mume aandike talaka kila mwezi ili kuzifanya ziwe tatu??

Kuwekwa talaka 1 hadi 3 miongoni mwa sababu ni kurahisisha kurudiana na kuweka ugumu wa kutalikiana lakini haina maana kwamba ili lengo la talaka litimie lazma ziwe tatu, la hasha. Yes, nakubaliana na ww talaka sio karatasi kwani hata maneno tu yanatosha au talaka ya kining'inia (Ukifanya hivi nitakuacha).

Ndiyo maana talaka haina utani na mwanaume anapaswa kujizuia na neno "talaka" kulitamka hovyo.
Uko sahihi pia broh Moja tu yatosha kutorudiana pia
 
Manara akubali safari hii kapata kiboko yake. Hata aliyenaye akijifungua tu atamvumilia kwa miezi kadhaa na kuanza kudai talaka. Jamaa ana mke ndani ila kutwa macho kodo nje
Numbisa[emoji38][emoji38] majina mengine bhana
 
Back
Top Bottom